Dream League Soccer Special Thread

Ndugu yangu adriz Assalam alaykum akhiy

Naomba uuelezee umma tafadhali nini kilikukuta jana
Na uwaelezee watu jinsi gani hamsa zinavyouma , maana uliwacheka sana makolo hatimae nawe yamekufika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Cc; Wakipekee
 
Haya Wanadream nimeweka bango hapo na nyiny mkipita mlione, ila chonde tafadhali ningeomba msaada wenu wa kifedha na kivinginevyo wa ku-run kesi endapo ndugu bwana adriz ataamua kulifikisha hili jambo katika vyombo vya sheria kwa kutumia logo yake pasi na idhini yake

Nawasilisha.......
 
Nimejitahidi wakati ulikuwa unahemea mipira
[emoji23][emoji23][emoji23]


Tena kuanzia sasa nakutaka ukiwa sehemu utahis network ipo vizuri nikuonyeshe boli linavyochezwa
Yani we bado sema siwez kuangaika kuambia net wkt nimekuonesha nachezea Game H+ ingekuwa 4G we ni mwepes sn
 
Ss huyo sikazoea 5 tano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…