Una hicho kiwango?!Wote humu.
Hana maajabu yeyote si vile mi namuachia tu, Basi anataaamba anajifanya kanisahau nikimuanzishiagaUna hicho kiwango?!
Bado humu naendelea kuwa GOAT nikifuatiwa na MrJobless na si weweKwa kichapo unachopata daily sijui unatoa wapi ujasiri wa kuzungumza ,sasa hivi ukitaka mechi tena na Mimi njoo na barua ya kuthibitisha kuwa umeboresha kiwango chako.
Goat kwa pira bovu na matokeo mabovu ? tumia nguvu kuboresha kiwango chako sasa maana sitaki nikuoneee kila siku.Bado humu naendelea kuwa GOAT nikifuatiwa na MrJobless na si wewe
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Kabisa..Una hicho kiwango?!
Humu hakuna anaejua dream mmejaaliwa kelel tu, yaani wew vipondo vyangu vya khamsakhamsa mara moja hii umevisahau??!!Goat kwa pira bovu na matokeo mabovu ? tumia nguvu kuboresha kiwango chako sasa maana sitaki nikuoneee kila siku.
Umegeuka kuwa mwalimu wa historia sasa 😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Humu hakuna anaejua dream mmejaaliwa kelel tu, yaani wew vipondo vyangu vya khamsakhamsa mara moja hii umevisahau??!!
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Hujui football wewee[emoji15][emoji15][emoji15]Umegeuka kuwa mwalimu wa historia sasa [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama vipondo khamsa ,6 na 4 mbona nimekupiga vingi mno ila Mimi sitaki historia ya kale nazungumzia mwaka huu hakuna siku ambayo umeibuka bingwa dhidi yangu nakupa vipigo daily..
Wewe jamaa hauishiwi vituko lakini ndio kawaida ya viande hiyo kuwa na mikwara huku akichezea vipondo .Mishale ya kuanzia saa 4 ningeomba Wanadreama nyote mkusanyike mmoja mmoja nitampangusa kwa kichapo kikali,
Nitaanza na adriz na nitaleta ushahidi hapa labda akimbie
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Ndy shida ya VibondeHana maajabu yeyote si vile mi namuachia tu, Basi anataaamba anajifanya kanisahau nikimuanzishiaga
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu Uzi Bingwa wenu wa Kwel ni mi tuBado humu naendelea kuwa GOAT nikifuatiwa na MrJobless na si wewe
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
UnatishaPass 120+ hii n Mi tu msijari nitatoa kitabu cha Tactics View attachment 2867899
Kdg nakupa nafas Ya kutamba nikiwa sipo OnlineBingwa wenu nipo ila mambo yamekuwa meng game sichez kbs ila msiwaze siku nitatenga mda niwanyooshe tena kila mmoja humu
Yan ni bhs huku Net ya hovyo lkn nawaandalia kitabu Vijana wng mkatambe huko Mbele sio kweny Uzi huuUnatisha