Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

Humu hakuna anaejua dream mmejaaliwa kelel tu, yaani wew vipondo vyangu vya khamsakhamsa mara moja hii umevisahau??!!

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Umegeuka kuwa mwalimu wa historia sasa 😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kama vipondo khamsa ,6 na 4 mbona nimekupiga vingi mno ila Mimi sitaki historia ya kale nazungumzia mwaka huu hakuna siku ambayo umeibuka bingwa dhidi yangu nakupa vipigo daily..
 
Umegeuka kuwa mwalimu wa historia sasa [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kama vipondo khamsa ,6 na 4 mbona nimekupiga vingi mno ila Mimi sitaki historia ya kale nazungumzia mwaka huu hakuna siku ambayo umeibuka bingwa dhidi yangu nakupa vipigo daily..
Hujui football wewee[emoji15][emoji15][emoji15]

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Pass 120+ hii n Mi tu msijari nitatoa kitabu cha Tactics
Screenshot_2024-01-11-00-51-34-37_8ae6ee3e7b906e7c42026d3232617c7e.jpg
 
adriz sitambi kukufunga maana kwangu ni kawaida tu ila nakuomba ujifunze walau kupiga pasi, yani wew ndie unaongoza kwa kucheza butubutu humu, tazama game zote umepigiwa mpira
 

Attachments

  • Screenshot_20240112-232535_1.jpg
    Screenshot_20240112-232535_1.jpg
    128.4 KB · Views: 6
Back
Top Bottom