Kijana mbona unahadaa Raia hauweki matokeo ya jumla ? umeshindwa siku moja tena ushindi mwembamba mechi 5 umeshindwa 3 na kufungwa mbili hapo si kama umebahatisha Tu ?
We kiande maneno mengi bila ya shaka umejiandaa vyema, leo kama utakuwa na wasaa mishale ya saa 4 tupige game 5 na nitakupasua zote shikilia hilo NITAKUPASUA ZOTE[emoji35][emoji35][emoji35]Kijana mbona unahadaa Raia hauweki matokeo ya jumla ? umeshindwa siku moja tena ushindi mwembamba mechi 5 umeshindwa 3 na kufungwa mbili hapo si kama umebahatisha Tu ?
Double click juu ya zile batani za kuchezea yaani zile A,B,C na D...Jaman nauliza jinsi ya kutanguliza mpira mbele ukiwa una dribble naomba kuelekezwa
Hiv Kijana wng upo tier ya Ngap ssDouble click juu ya zile batani za kuchezea yaani zile A,B,C na D...
Au touch screen kurudi nyuma
5Hiv Kijana wng upo tier ya Ngap ss
Jitahid mbn Mi nakuja kufika Tier 1 Kwa Kikos Kdg zaid
Sema mtandao unanisumbua Sana sijajua tatizo n nn? Hicho ndo kinanifelisha Sana..Nipo Tier ya 7 View attachment 2873985
Wasalimie Kigoma Tier ya 6 tayar hopefully Leo tunafika ya tier ya 4Sema mtandao unanisumbua Sana sijajua tatizo n nn? Hicho ndo kinanifelisha Sana..
Au kuna inshu ya settings?
Maana inagoma sio kama game lililopita hili nacheza Kwa kutumia Tu uzoefu
Ishu ya mtandao ndio sumu kwa game hili na ukikata tu jua umepigwa 3 kwa nunge,pumbavu sanaSema mtandao unanisumbua Sana sijajua tatizo n nn? Hicho ndo kinanifelisha Sana..
Au kuna inshu ya settings?
Maana inagoma sio kama game lililopita hili nacheza Kwa kutumia Tu uzoefu
Dah mwenyewe sina Raha maana unaenda kufunga then yanatokea mauza uzaIshu ya mtandao ndio sumu kwa game hili na ukikata tu jua umepigwa 3 kwa nunge,pumbavu sana
Ok AsanteDouble click juu ya zile batani za kuchezea yaani zile A,B,C na D...
Au touch screen kurudi nyuma
Hii tier inakuwajeHiv Kijana wng upo tier ya Ngap ss
Mtandao hata mimi unanifelisha sana ukianza kugoma tu unapigwa chumaSema mtandao unanisumbua Sana sijajua tatizo n nn? Hicho ndo kinanifelisha Sana..
Au kuna inshu ya settings?
Maana inagoma sio kama game lililopita hili nacheza Kwa kutumia Tu uzoefu
Online LeagueHii tier inakuwaje
Ok but network inasumbua sanaOnline League