Nitakutafuta kesho morning, tupige game 3Mmemekutana vibonde ndio maana mhangaika kufungana , ngoja kesho panapo niwaonyeshe jinsi gani mtu anavyotakiwa ashikishwe adabu hadi asitamani kucheza na mimi tena kama ilivyokuwa kwa @Frustation na wenzanke.
Poa inshaAllah , kipigo kitakachokuja nadhani hata hili jukwaa utalikimbia nimeandaa heavy weapons ambazo haziachi kitu isipokua majivu tu 🚀🚀 🚀
adriz upo wap, time hii hapa hiiPoa inshaAllah , kipigo kitakachokuja nadhani hata hili jukwaa utalikimbia nimeandaa heavy weapons ambazo haziachi kitu isipokua majivu tu [emoji573][emoji573] [emoji573]
Upo ?
Delle4
Kuna mechi nimeponea bahati vitu vinakula nguzo aisee!! 😂 😆adriz uliweka nini kule golini[emoji1787][emoji1787]
Ila poa pengezi tena kwako[emoji122][emoji122]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787]Kama bongo tungesema golini kuna hiriziKuna mechi nimeponea bahati vitu vinakula nguzo aisee!! [emoji23] [emoji38]
Nimeshakua bingwa wako na ulimuahidi @Frustation kua utaninyamazisha sasa nimeshamaliza ubishi haya nileteeni privacy haraka huyu mtu nina hasira nae balaa nikikutana nae atapigwa nyingi kama mvua.adriz uliweka nini kule golini[emoji1787][emoji1787]
Ila poa pengezi tena kwako[emoji122][emoji122]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshakua bingwa wako na ulimuahidi @Frustation kua utaninyamazisha sasa nimeshamaliza ubishi haya nileteeni privacy haraka huyu mtu nina hasira nae balaa nikikutana nae atapigwa nyingi kama mvua.
Upo ?Nipo kuikata kiu yako mkuu..!! Msisitizo ni “Jitahidi leo usitafute kisingizio cha kupigwa”
Vipi nikuzabe kama Simba?Kuna yeyote humu ?
😂 😂 😆 😂 najiamini hautoweza kea sababu hauna Mayele.Vipi nikuzabe kama Simba?
Kikosi changu kipo vizuri,wanyweshe maji mengi vikatuni vyako kama unaweza😂 😂 😆 😂 najiamini hautoweza kea sababu hauna Mayele.
Vichapo vyangu vimewakimbiza wote humu ndio maana huu uzi wananiona mchungu kwao.Hakuna wa mda huu nimchape?