Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
- Thread starter
- #781
Umebebwa sana hadi unashangaa kwa mserereko wa mwendo kasiYah chap kwa gemu 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umebebwa sana hadi unashangaa kwa mserereko wa mwendo kasiYah chap kwa gemu 2
Mtu kala Rava4 salami natumia kwa wote wa jukwaa hili Fene ukikaidi utapigwa2 and others 😂😂😂😆Nakutamani sana ww
Kesho asubuhi nitarudisha goli zanguMtu kala Rava4 salami natumia kwa wote wa jukwaa hili Fene ukikaidi utapigwa2 and others 😂😂😂😆View attachment 2325478
Unafunga waleviMrejesho @Frustation nimecheka nae gemu mbili matokeo hayo chini na siku yeyote alinifunga nabadili jina la ID niitwe Paka humu au Nyau shahid Moderator na wadau humu View attachment 2325479
Hii kajitahidi ona Ontarget 8 si mtu alikuwa anapigwa wiki huyu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji38]View attachment 2325480
Ukija tena hakikisha hauna kisingizio hata kimoja kwani comment hii inamdhalilisha Master wenu.Umebebwa sana hadi unashangaa kwa mserereko wa mwendo kasi
Jamaa atafute gemu la kucheza hata kupanga viboksi au ujenzi 😂😂😆Unafunga walevi
Siku ukijichanganya kuingia anga zangu utapata aibu kubwa sana.Unafunga walevi
[emoji1787]Mtu kala Rava4 salami natumia kwa wote wa jukwaa hili Fene ukikaidi utapigwa2 and others [emoji23][emoji23][emoji23][emoji38]View attachment 2325478
Jamaa halafu bado ana matumaini ya kunifunga wakati navizia nishinde events nipate makocha wa kuongeza nguvu ya kikosi sasa kitakua moto kwa vichapo zaidi ya sasa kilivyo
Muda si mwingi utaukimbia huu uzi adrizKupewa nakoz kila siku ni hatari kwa Afya huoni mwenzio Fene nimempa kichapo mechi za kulipa kisasi kasogeza mbele ameona kujioverdose vichapo ni hatari kwa Afya yake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23]jaman kwann tusifungue group hata la telegram humu tunapishana sana dream league online tamu sana hasa network ikiwa poa kama vp mmoja afungue then ashare link tujoinnitakuja hapa tena sasa 8 kamili na nitakaa kwa dkk kumi kusubiri kibonde yote humu atakayejitokeza.
Njoo chap nakutafuta sana.[emoji23][emoji23][emoji23]jaman kwann tusifungue group hata la telegram humu tunapishana sana dream league online tamu sana hasa network ikiwa poa kama vp mmoja afungue then ashare link tujoin
Kama upo tayari nikupe code now niendeleze rekodi ya kutoa vichapo humu.[emoji23][emoji23][emoji23]jaman kwann tusifungue group hata la telegram humu tunapishana sana dream league online tamu sana hasa network ikiwa poa kama vp mmoja afungue then ashare link tujoin
Sawa andika goliNjoo chap nakutafuta sana.
Upo tayari ?Sawa andika goli
TayariUpo tayari ?
Code Delle4 gemu 2 haya twende chapTayari
[emoji23][emoji23][emoji23]mda gn utakuwa online tena cm yangu imezimika chaji najua umenifunga 2-1 nahitaji kulipa deniCode Delle4 gemu 2 haya twende chap