Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

Nakutamani sana ww
Mtu kala Rava4 salami natumia kwa wote wa jukwaa hili Fene ukikaidi utapigwa2 and others 😂😂😂😆
Screenshot_20220816_175601.jpg
 
Mrejesho @Frustation nimecheka nae gemu mbili matokeo hayo chini na siku yeyote alinifunga nabadili jina la ID niitwe Paka humu au Nyau shahid Moderator na wadau humu
Screenshot_20220816_175601.jpg


Hii kajitahidi ona Ontarget 8 si mtu alikuwa anapigwa wiki huyu 😂😂😂😆
Screenshot_20220816_174907.jpg
 
Kesho asubuhi nitarudisha goli zangu
Kupewa nakoz kila siku ni hatari kwa Afya huoni mwenzio Fene nimempa kichapo mechi za kulipa kisasi kasogeza mbele ameona kujioverdose vichapo ni hatari kwa Afya yake 😂😂😂😆
 
nitakuja hapa tena sasa 8 kamili na nitakaa kwa dkk kumi kusubiri kibonde yote humu atakayejitokeza.
[emoji23][emoji23][emoji23]jaman kwann tusifungue group hata la telegram humu tunapishana sana dream league online tamu sana hasa network ikiwa poa kama vp mmoja afungue then ashare link tujoin
 
[emoji23][emoji23][emoji23]jaman kwann tusifungue group hata la telegram humu tunapishana sana dream league online tamu sana hasa network ikiwa poa kama vp mmoja afungue then ashare link tujoin
Njoo chap nakutafuta sana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]jaman kwann tusifungue group hata la telegram humu tunapishana sana dream league online tamu sana hasa network ikiwa poa kama vp mmoja afungue then ashare link tujoin
Kama upo tayari nikupe code now niendeleze rekodi ya kutoa vichapo humu.
 
Back
Top Bottom