Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

Kikosi changu kipo vizuri,wanyweshe maji mengi vikatuni vyako kama unaweza
Wewe tafuta gemu la kucheza tu maana ukija kwangu unachapika kama mtoto mdogo wala sisumbuki kabisa kama kwa wengine.
 
Haka ka timu nlikapiga 7 kumbe ni wewe jamaa
Sijawahi kupigwa 7 na mtu , weka muda maalumu kuanzia sasa ukiwa na time tukiwashe nije nikate mzizi wa fitina kwani mimi ndio mfamle wa huu uzi na maneno yako ni sawa kumkosea adabu mfamle na adhabu yake ni kifo cha goli 5 kavu .
 
Back
Top Bottom