adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Wewe tafuta gemu la kucheza tu maana ukija kwangu unachapika kama mtoto mdogo wala sisumbuki kabisa kama kwa wengine.Kikosi changu kipo vizuri,wanyweshe maji mengi vikatuni vyako kama unaweza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe tafuta gemu la kucheza tu maana ukija kwangu unachapika kama mtoto mdogo wala sisumbuki kabisa kama kwa wengine.Kikosi changu kipo vizuri,wanyweshe maji mengi vikatuni vyako kama unaweza
@adriz punguza mdomo, dawa yako ipo jikoniVichapo vyangu vimewakimbiza wote humu ndio maana huu uzi wananiona mchungu kwao.
Nakutafuta sana kama upo online twende nikakufungeWewe tafuta gemu la kucheza tu maana ukija kwangu unachapika kama mtoto mdogo wala sisumbuki kabisa kama kwa wengine.
Haka ka timu nlikapiga 7 kumbe ni wewe jamaaMr Fene unalolote la kuwaambia Mashabiki ? mechi tatu umepigwa mbili umeshinda mojaView attachment 2321477View attachment 2321477
Sijawahi kupigwa 7 na mtu , weka muda maalumu kuanzia sasa ukiwa na time tukiwashe nije nikate mzizi wa fitina kwani mimi ndio mfamle wa huu uzi na maneno yako ni sawa kumkosea adabu mfamle na adhabu yake ni kifo cha goli 5 kavu .Haka ka timu nlikapiga 7 kumbe ni wewe jamaa
nitakuja hapa tena sasa 8 kamili na nitakaa kwa dkk kumi kusubiri kibonde yote humu atakayejitokeza.Nakutafuta sana kama upo online twende nikakufunge
Timu yako nakuichukulia kama Man U tu ilivyo kwa sasa .
Kumbukumbu zimehifadhiwa,Timu yako nakuichukulia kama Man U tu ilivyo kwa sasa .
Vipi nikuzabe kama Simba?
Maneno haya hata mandonga anayoWewe tafuta gemu la kucheza tu maana ukija kwangu unachapika kama mtoto mdogo wala sisumbuki kabisa kama kwa wengine.
Kumbe umempiga ila haachi kutapatapaKumbukumbu zimehifadhiwa,
Tumecheza game 6 umenifunga 4 nimekufunga 2
Nitakutafuta tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Umetoka?Nani yupo kwa hewa ?
Kiujumla nimemkalisha ndio maana hataki hata kunisogelea tena kama wewe ulivyo sasa.Kumbe umempiga ila haachi kutapatapa
Ww twende kama unajiaminiKiujumla nimemkalisha ndio maana hataki hata kunisogelea tena kama wewe ulivyo sasa.
Nakutamani sana wwKiujumla nimemkalisha ndio maana hataki hata kunisogelea tena kama wewe ulivyo sasa.
Nipo nowNakutamani sana ww
Poa twende kwa code ile ile ya Delle4Nipo now
Yah chap kwa gemu 2PPoa
Poa twende kwa code ile ile ya Delle4