Fene
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 2,824
- 4,447
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na ww nakutafuta ngoja nimalizane na huyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na ww nakutafuta ngoja nimalizane na huyo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nawe tu mbovu kupitiliza
Hao inavyoonesha vibonde kwel yani unawakung'uta unavyotakaUmeona jinsi "Parching style " unavyofanya mpk umestaajabu jinsi magoli yanavyopatikana unapigwa kaunta ya ajabu na nilisema hii style hata mtu awe na wachezaji wenye nguvu kama Hulk watapigwa kama walevi [emoji23][emoji23][emoji23] Fene
Umeona kwanza kikosi cha jamaa ?
[emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa sasa hivi kala 3 amequit dkk ya 38 na alisema safari hii kaweka hahoteli 😂😂😂
Jamaa kujisifia kote dkk ya 17 kala kamba mbili sasa akaquit kuogopa aibu sasa comment yake inamfunga na tulicheza fresh 2 hakuna kisingizio mtandao haukukata karesume ikajikata hapo inashiria kukimbiaNimeweka halotel hapa vipi nirudishe magoli yangu?
Nimekiona, mshkaji ana kikosi kizuri ila ndohivo hana maajabuUmeona kwanza kikosi cha jamaa ?
Kumbe nikikusambaratisha wewe tu moja kwa moja natangaza ufalme wanguJamaa sasa hivi kala 3 amequit dkk ya 38 na alisema safari hii kaweka hahoteli [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2325535
Toka mwaka huu uanze sijawahi kucheka kama leo hii mechi na @Frustation hii wakati nacheza jinsi mtu anavyokula kichapo nikukumbuka ametoka kumuambia Nkulu wa nchito mbovu kupitiliza baada kumpa dozi nimecheka mno huku mechi inaendelea tena kwa sauti kubwa kama mwehu nusu nivunje simu na nikafikia hatua ya kucheka mpk kulala chini alivyoQUIT na kukimbia hapa nilipo tumbo linauma aisee !! 😂 😂 😆
Jamaa amekimbia dkk ya 38 wakati huo goli 3 ontarget 7 alikuwa anapigwa nyingi kama 10 kwa uchache kipindi cha kwanza ila kaamua kuiepuka aibu 😂😂😂😆Kumbe nikikusambaratisha wewe tu moja kwa moja natangaza ufalme wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Humu kuna wakina Mandonga wengi humuToka mwaka huu uanze sijawahi kucheka kama leo hii mechi na @Frustation hii wakati nacheza jinsi mtu anavyokula kichapo nikukumbuka ametoka kumuambia Nkulu wa nchito mbovu kupitiliza baada kumpa dozi nimecheka mno huku mechi inaendelea tena kwa sauti kubwa kama mwehu nusu nivunje simu na nikafikia hatua ya kucheka mpk kulala chini alivyoQUIT na kukimbia hapa nilipo tumbo linauma aisee !! [emoji23] [emoji23] [emoji38]
View attachment 2325540View attachment 2325541Halafu nado hakomi namshauri kila siku acheze gemu la Sokoban au hata magari.
Upo ?Aliye online nipe code
Kuna tofauti kubwa kati yangu na Mandonga mimi natoa dozi tu sipotezi kizembe kama Mandonga.
Jamaa kakimbia halafu hata hivyo mtu wenyewe kibonde wa kiwango cha Frustration alishawahi kuweka screenshot kala 7 online.
Ngoja na mim nitenge muda nipite nao wote haoJamaa kakimbia halafu hata hivyo mtu wenyewe kibonde wa kiwango cha Frustration alishawahi kuweka screenshot kala 7 online.