Kula sana jaramba adriz, mwisho wako umewadiaSina mkali wangu humu mimi ndio mfamle wa humu anayebisha aweke takwimu na sababu za kwa nini yeye mfamle .
Nikifungwa na mtu yeyote kuanzia sasa kwa tukiruka kwa idadi za mechi tulizo kubaliana na akanizidi points natangaza kumpa ufalme rasmi kwani naona humu wote viande bora nitafute magroup nijipime uwezo kwao mabingwa.
Mimi sina coaching kikosi changu kinatosha kumaliza Kazi hata wakicheza 8Kula sana jaramba adriz, mwisho wako umewadia
Fanya coaching za kutosha
Piga sana event
Ila nakwambia tu aibu yako ipo njiani, haitokuwa 3 1 tena,
Muhimu fahamu aibu yako ipo njiani
Hebu kaiangalie tena game ya kwanza ya liver na man u ya mwaka jana kwa umakini kabisaMimi sina coaching kikosi changu kinatosha kumaliza Kazi hata wakicheza 8
Kwa sasa sitaki kuonga sana maana nitapunguza mood ya kutoa kichapo nataka kichapo kiongee we nitag tu muda ukifika nikate mzizi wa fitina .Hebu kaiangalie tena game ya kwanza ya liver na man u ya mwaka jana kwa umakini kabisa
Ule utakuwa mfano wa aibu yako ule
Saw 2:30 nitag.Natafuta wa kucheza nae
We jamaa kunguru kweli wewe, unaomba mechi ikifika mida unakula Kona[emoji23]Natafuta wa kucheza nae
@adriz vp mtandao unasoma tukiwashe?Saw 2:30 nitag.
Hatusomi kabisa labda saa 5 ,mara nyingi maeneo niliyopo inakubali mchana ,asubuhi, jioni na mpk sana 2 usiku@adriz vp mtandao unasoma tukiwashe?
Poa wacha niitafute tier 10 bhcHatusomi kabisa labda saa 5 ,mara nyingi maeneo niliyopo inakubali mchana ,asubuhi, jioni na mpk sana 2 usiku
Poa kiande wangu.Poa wacha niitafute tier 10 bhc
Utapigwa nyingi mkuu
Kweli kabisa ,maana kikosi chake kidogo sana wakicheza nae labda @FrustationUtapigwa nyingi mkuu
Upo?Kweli kabisa ,maana kikosi chake kidogo sana wakicheza nae labda @Frustation
Nina kikosi cha kuigwaUpo?
tukiwashe
Nina kikosi cha kuigwaUpo?
tukiwashe
Mm ni wamfano humuKweli kabisa ,maana kikosi chake kidogo sana wakicheza nae labda @Frustation
Na ww mchezaji?Utapigwa nyingi mkuu
Na ww mchezajiUtapigwa nyingi mkuu
Kama mchezaji mzembe kama huyu ni man of the match hapo hakuna timu ni kama Zalan fc tu