Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

Sina mkali wangu humu mimi ndio mfamle wa humu anayebisha aweke takwimu na sababu za kwa nini yeye mfamle .

Nikifungwa na mtu yeyote kuanzia sasa kwa tukiruka kwa idadi za mechi tulizo kubaliana na akanizidi points natangaza kumpa ufalme rasmi kwani naona humu wote viande bora nitafute magroup nijipime uwezo kwao mabingwa.
Kula sana jaramba adriz, mwisho wako umewadia

Fanya coaching za kutosha
Piga sana event

Ila nakwambia tu aibu yako ipo njiani, haitokuwa 3 1 tena,
Muhimu fahamu aibu yako ipo njiani
 
Kula sana jaramba adriz, mwisho wako umewadia

Fanya coaching za kutosha
Piga sana event

Ila nakwambia tu aibu yako ipo njiani, haitokuwa 3 1 tena,
Muhimu fahamu aibu yako ipo njiani
Mimi sina coaching kikosi changu kinatosha kumaliza Kazi hata wakicheza 8
 
Mimi sina coaching kikosi changu kinatosha kumaliza Kazi hata wakicheza 8
Hebu kaiangalie tena game ya kwanza ya liver na man u ya mwaka jana kwa umakini kabisa

Ule utakuwa mfano wa aibu yako ule
 
Hebu kaiangalie tena game ya kwanza ya liver na man u ya mwaka jana kwa umakini kabisa

Ule utakuwa mfano wa aibu yako ule
Kwa sasa sitaki kuonga sana maana nitapunguza mood ya kutoa kichapo nataka kichapo kiongee we nitag tu muda ukifika nikate mzizi wa fitina .
 
Screenshot_2022-08-26-01-02-27-32.png
 
Back
Top Bottom