Dream League Soccer Special Thread

Leo umeniotea na ni mara yako ya kwanza kunifunga nitarudi upya ,humu hakuna aliyewahi kunifunga siku mbili tofauti ukiweka rekodi hiyo nakuachia ufalme rasmi.
Kipindi kile nilkua na kikosi kibovu, sahau kunifunga tena
 
Master yupo hapa kwa anaeihitaji kichapo
Acha kujiita Master na kuchukua cheo changu wakati tokea unizidi siku ya kwanza hujawahi tena na umekua kiande wangu kila siku.

Lipiganie jina kisha ujiite nado upo levo za kangaloo halafu unajiita Master πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…