Nkulu wa nchito
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,112
- 1,429
Adriz tucheze sasaWasap gruop
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Adriz tucheze sasaWasap gruop
Kuna mawili la wasp lina members 197 la Singasinga na la nkulu wa chito ni telegram lina members 7Ni WhatsApp group au nin?
Nipe mrejesho
Taja codeWasap gruop
Kausha naenda msikitini ngoja nirudi.Adriz tucheze sasa
Haina noma wahi ibadaKausha naenda msikitini ngoja nirudi.
Umeogopa kichapo zaid hadi unakimbiaKausha naenda msikitini ngoja nirudi.
Leo umeniotea na ni mara yako ya kwanza kunifunga nitarudi upya ,humu hakuna aliyewahi kunifunga siku mbili tofauti ukiweka rekodi hiyo nakuachia ufalme rasmi.Adriaz una la kujitetea kwa hiki kipigoView attachment 2335732View attachment 2335735View attachment 2335733View attachment 2335734View attachment 2335736
Kipindi kile nilkua na kikosi kibovu, sahau kunifunga tenaLeo umeniotea na ni mara yako ya kwanza kunifunga nitarudi upya ,humu hakuna aliyewahi kunifunga siku mbili tofauti ukiweka rekodi hiyo nakuachia ufalme rasmi.
Poa viande tangulieni, master wenu mdogomdogo najaKuna mawili la wasp lina members 197 la Singasinga na la nkulu wa chito ni telegram lina members 7
Duh! Hii leo tena?Umeogopa kichapo zaid hadi unakimbiaView attachment 2335737
Mbona leo nimekufunga Ktk mechi tulizo cheza ?Kipindi kile nilkua na kikosi kibovu, sahau kunifunga tena
Ww umeshinda mechi ngapiUna ubabe gani wakati katika mechi kumi umeshinda moja na umepigwa goli Nne sio chini ya mara mbili halafu unajisifu.
Unajiungaje?Nyie wawili ingependeza sana mkajoin ligi yangu inaanza kesho mkapasuana vizuriView attachment 2335666
TwendeMaster yupo hapa kwa anaeihitaji kichapo
Nasikia hautaki kusikia kuwa unatakiwa kucheza na nyambera hapaMaster yupo hapa kwa anaeihitaji kichapo
Oya upo?
Nasikia hautaki kusikia kuwa unatakiwa kucheza na nyambera hapa