Dream League Soccer Special Thread

Hahaha, unanifurahisha kwel adriz

Yani hapo unazungumza huku amani ikiwa imepotea kabisa, unatamani J/nne isifike

Mpaka sasahiv ukilikumbuka soka ulilopigiwa juzi amani inapotea kabisa

Nikwambie tena tu kwasasahiv ukicheza na Fena bora uamue kujilinda tu ili kuepuka aibu ya magoli mengi
 
Kipigo kikubwa zaidi cha kapa yaani nimevunja rekodi yangu mwenyewe na hii picha ya kutisha imepigwa jana sasa 5 usiku
 
Barid hamna noma, mida nikuone
Sitaki visingizio kama una visingizio vyako uweke kabisa maana nataka nimalize ubishi iwe mwisho kucheza na vibonde leo.
 
Sitaki visingizio kama una visingizio vyako uweke kabisa maana nataka nimalize ubishi iwe mwisho kucheza na vibonde leo.
Barid na kuanzia leo unipatie heshima yangu rasmi baada ya kisago
 
Unajiamini hauna kisingizio chochote sasa niweke code ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1491][emoji1491][emoji1491][emoji1491][emoji1491][emoji817][emoji817][emoji817][emoji817][emoji817][emoji817][emoji817][emoji817][emoji817][emoji817][emoji817][emoji817][emoji817][emoji817]
 
Sitaki visingizio kama una visingizio vyako uweke kabisa maana nataka nimalize ubishi iwe mwisho kucheza na vibonde leo.
Mtoto akililia wembe mwachie umkate[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…