Fene
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 2,824
- 4,447
Hahaha, unanifurahisha kwel adrizFene ujipange kiande wangu taarifa niliyopata sasa J4 panapo majaaliwa nitakuwa sehemu yenye utulivu na mtandao unashika vizuri sasa nimepanga nicheze huku nimeweka kitambaa machoni maana sitaki nikuaibishe sana nitakua kama mwamba hapo chini ambaye aliwahi kufanya hivyo kwenye competition ya ulengaji shabaha kwa na alishinda coz anajiamini na kutambua fika kua mpinzani wake kiande.
View attachment 2345363
Huyo jamaa kama mimi hataki madharau yeye dozi tu.
Yani hapo unazungumza huku amani ikiwa imepotea kabisa, unatamani J/nne isifike
Mpaka sasahiv ukilikumbuka soka ulilopigiwa juzi amani inapotea kabisa
Nikwambie tena tu kwasasahiv ukicheza na Fena bora uamue kujilinda tu ili kuepuka aibu ya magoli mengi