Dream League Soccer Special Thread

Kumbuka vizuri mzee baba usilete uhuni hapa, nakuhesabia
Challenge yetu saw na game 3
Umeshinda 1
Game za lig umeshinda 1 sawa na game 5 hizo tayar
Kabla ya hapo nilikuomba friend match nyuma nilikufunga (game ya pil hukutaka kucheza ulikimbia ukasingizia mtandao)

Nilipost matokeo ya hii game hapo juu ukachekwa sana na mashabiki
 
Sawa rekodi ya kapa 3-0 na rekodi ya goli nyingi 6 kipigo amambacho kikubwa zaidi uzi mzima bado haujafuta na mimi vilevile bado GOAT
 
Sawa rekodi ya kapa 3-0 na rekodi ya goli nyingi 6 kipigo amambacho kikubwa zaidi uzi mzima bado haujafuta na mimi vilevile bado GOAT
Rekodi zako hazina mashiko
1.kuhusu 3 0 vipi kuhusu game ya mwisho tuliyocheza nilikufunga ngap? (score board ilikuwa inasoma vip?)
2.kuhusu 6 kwa 3 mi sioni tofauti na 4 1 nilizokufungaga labda wew tu ndo unaona kuna tofauti hapo

Rekodi yangu sasa
Katika game za challenge nimekufunga kwa ushindi wa mateso sana kwa game zote mbili nimekufunga kwa clean sheets ambapo hukufanya hivyo hata kwa game moja katika challenge iliyopita

Pia nimemiliki ushindi kwa game 3 nikiwa nimeruhusu goli moja tu lakin wew ulimilik ushindi ktk challenge iliyopita ukiwa umeruhusu goli 8
 
Sawa rekodi ya kapa 3-0 na rekodi ya goli nyingi 6 kipigo amambacho kikubwa zaidi uzi mzima bado haujafuta na mimi vilevile bado GOAT
Je ungenifunga 4 0 ningekuwa na chakusema, na je ungenifunga 6 1 ningekuwa na chakusema
 
Goli zilikua mbili tu na moja lakupewa
 
Goli zilikua mbili tu na moja lakupewa
Samahani mkuu adriz kwa kutoweka vizuri hii rekodi yangu kumrazi[emoji23][emoji23]

NAREKEBISHA
Nimemiliki ushindi kwa kuruhusu goli 1 katika michezo 3 ya challenge

Challenge iliyopita ulimilik ushindi kwa kuruhusu goli 8

Unstoppable Fene king[emoji3517][emoji3517]
 
Fene unalolote la kuwaeleza mashabiki wakina Singasinga Innovator97 Nkulu wa nchito @Frustation nk kwani kwenye mechi 5 za mwisho zilizochezwa siku Moja umeshinda Moja tu halafu bado unalo tu hilo gemu si bora ufute

Sasa The Master nimerejea kwenye ufalme wangu humu hakuna makosa tena yatakayotendeka kuhatarisha Ufalme wangu humu.
 
ungeneni nyie wawili niwanyooshe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…