Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
kwahyo Mkuu unanishauri nilirestart Simu Litakubali ?Hata mimi simi yangu Ram 2 gb android 10 kuna wakati nikiupdate playstore ilikuwa inaleta ujumbe huo mpk nikawa ninafuta na kudowload upya linakubali ikija updates inazingua ikifika mwishoni wakati wa kudowload mpaka nikahamisha mafile na kurestore simu now imekubali.
Tatizo hilo playstore wanalo niliseacrch Youtube jinsi ya kusolve wengi wametoa njia kwamba unahold app inaenda kwenye app info kisha unaclear caches and data kisha download upya, wengi hii imewasaidia nenda youtube utaona maelekezo zaidi .
Nimefany kam hivyo ila bado tu inasumbua Nimeona kuna videos Youtube zinashauri Kudownload Kwa mfumo wa Apk+Obb+ Data alf unazipanga kwenye Files husika alf una install Apk,Hata mimi simi yangu Ram 2 gb android 10 kuna wakati nikiupdate playstore ilikuwa inaleta ujumbe huo mpk nikawa ninafuta na kudowload upya linakubali ikija updates inazingua ikifika mwishoni wakati wa kudowload mpaka nikahamisha mafile na kurestore simu now imekubali.
Tatizo hilo playstore wanalo niliseacrch Youtube jinsi ya kusolve wengi wametoa njia kwamba unahold app inaenda kwenye app info kisha unaclear caches and data kisha download upya, wengi hii imewasaidia nenda youtube utaona maelekezo zaidi .
Ukidownliad njeya play store itakulazimu ku update game yako to play store au itakataa jumlaNimefany kam hivyo ila bado tu inasumbua Nimeona kuna videos Youtube zinashauri Kudownload Kwa mfumo wa Apk+Obb+ Data alf unazipanga kwenye Files husika alf una install Apk,
Sasa hap Nahofia asije nikapoteza Mbs zangu kudownload hizo files zote alafu Bado likagoma Kucheza,
So kam kuna mtu labda unamjua ana Link ya uhakika nayoweza kudownload hili Dls 23 kw Mfumo huo bas Anipe hiyo Link nidownload maan hizi Link za Youtube huwa Siziamini sana mara nyingi huwa Games zake huwa hazichezi.
Ndugu upo?Unaua brand yangu nilioijenga kwa jasho na kutoa vipigo heavy humu na rekodi nyingi, please call me Adriz The Master
Master The Great wa uzi huu nipo salama kabisa nikiendeleza nilipoishia kutoa dozi , muda sana umepotea humu kiongozi..Ndugu upo?
Soma tena hii comment yako Fene The kiande hata wapi jeuri imeniponza?Yani wew hata kukoment humu inatakiwa uniombe ruhusa kwanza mimi
Na nakuambia kwa hiyo komenti yako jiandae kulia tena, safari hii utalia kwa machoz ya damu
Umeniuzi sana Mr Kiande[emoji35][emoji35][emoji35]
Na hizi jeuri zako ndizo zinakuponza, unaonewa huruma lakin jeuri!!!
Ukala kona, endelea kunikimbia ..Nitakuchek kama baada ya wik hiv, now nipo ktk free bundle Airtel haina nguvu ktk maangamiz
Nimerejea mzee, mfalme mwenyewUkala kona, endelea kunikimbia ..
Hahaha, simu imezidiwaDa nime download Dream league yaani Ile naanza kufanya settings nashangaa simu inazima yaan nimepaniki imesizi kama nusu saa hivi...
Sijui Lina virus
Simu hii ni kubwa haiwezi zidiwa na game la mb 500Hahaha, simu imezidiwa
Mr Kiande toa mrejesho kipigo cha jana nani aliibuka bingwa ?Nimerejea mzee, mfalme mwenyew
Nimekuja kuipoteza amani yako kwa mara nyingine
Twende codeMaster nauliza nani mwingine anahitaji kichapo na kudai ufalme humu ? Kiande Fene nimeshamshona mdomo.
ChapTwende code
J15
PoaChap