Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

Hata mimi simi yangu Ram 2 gb android 10 kuna wakati nikiupdate playstore ilikuwa inaleta ujumbe huo mpk nikawa ninafuta na kudowload upya linakubali ikija updates inazingua ikifika mwishoni wakati wa kudowload mpaka nikahamisha mafile na kurestore simu now imekubali.

Tatizo hilo playstore wanalo niliseacrch Youtube jinsi ya kusolve wengi wametoa njia kwamba unahold app inaenda kwenye app info kisha unaclear caches and data kisha download upya, wengi hii imewasaidia nenda youtube utaona maelekezo zaidi .
kwahyo Mkuu unanishauri nilirestart Simu Litakubali ?
 
Hata mimi simi yangu Ram 2 gb android 10 kuna wakati nikiupdate playstore ilikuwa inaleta ujumbe huo mpk nikawa ninafuta na kudowload upya linakubali ikija updates inazingua ikifika mwishoni wakati wa kudowload mpaka nikahamisha mafile na kurestore simu now imekubali.

Tatizo hilo playstore wanalo niliseacrch Youtube jinsi ya kusolve wengi wametoa njia kwamba unahold app inaenda kwenye app info kisha unaclear caches and data kisha download upya, wengi hii imewasaidia nenda youtube utaona maelekezo zaidi .
Nimefany kam hivyo ila bado tu inasumbua Nimeona kuna videos Youtube zinashauri Kudownload Kwa mfumo wa Apk+Obb+ Data alf unazipanga kwenye Files husika alf una install Apk,

Sasa hap Nahofia asije nikapoteza Mbs zangu kudownload hizo files zote alafu Bado likagoma Kucheza,

So kam kuna mtu labda unamjua ana Link ya uhakika nayoweza kudownload hili Dls 23 kw Mfumo huo bas Anipe hiyo Link nidownload maan hizi Link za Youtube huwa Siziamini sana mara nyingi huwa Games zake huwa hazichezi.
 
Nimefany kam hivyo ila bado tu inasumbua Nimeona kuna videos Youtube zinashauri Kudownload Kwa mfumo wa Apk+Obb+ Data alf unazipanga kwenye Files husika alf una install Apk,

Sasa hap Nahofia asije nikapoteza Mbs zangu kudownload hizo files zote alafu Bado likagoma Kucheza,

So kam kuna mtu labda unamjua ana Link ya uhakika nayoweza kudownload hili Dls 23 kw Mfumo huo bas Anipe hiyo Link nidownload maan hizi Link za Youtube huwa Siziamini sana mara nyingi huwa Games zake huwa hazichezi.
Ukidownliad njeya play store itakulazimu ku update game yako to play store au itakataa jumla
 
Naendeleza dozi nzito kama ada yangu ,sikumbuki siku ambayo Fene umenifunga siku nzima bila ushindi ila mimi kawaida sana kujutia kapa kama leo nilivyokupiga kama ngoma 😆😆😂
Screenshot_20230327_231725.jpg
 
Yani wew hata kukoment humu inatakiwa uniombe ruhusa kwanza mimi

Na nakuambia kwa hiyo komenti yako jiandae kulia tena, safari hii utalia kwa machoz ya damu

Umeniuzi sana Mr Kiande[emoji35][emoji35][emoji35]

Na hizi jeuri zako ndizo zinakuponza, unaonewa huruma lakin jeuri!!!
Soma tena hii comment yako Fene The kiande hata wapi jeuri imeniponza?
 
Fene bado huu uzi kwako umekua mchungu sidhani kama nado una ujasiri wa kutaka mechi na mimi The Master ..
 
Fene bado huu uzi kwako umekua mchungu sidhani kama nado una ujasiri wa kutaka mechi na mimi The Master ..
Nitakuchek kama baada ya wik hiv, now nipo ktk free bundle Airtel haina nguvu ktk maangamiz
 
Da nime download Dream league yaani Ile naanza kufanya settings nashangaa simu inazima yaan nimepaniki imesizi kama nusu saa hivi...
Sijui Lina virus
 
Master nauliza nani mwingine anahitaji kichapo na kudai ufalme humu ? Kiande Fene nimeshamshona mdomo.
 
Back
Top Bottom