Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashkuru kwa kumuelewesha vizuriYa Thimba na Yanga?
Mbabe wenu nipo hapaNashkuru kwa kumuelewesha vizuri
Mfano mwingine ni wa Thimba na Yanga
Kuanzia saa ngapi?Kama utakuwa na mda night njoo tukiwashe
Ndio hivyo nakwambia hai-detect. Yaani sielewi kama kuna settings za ziada labdaJaribu
Simu ina detect lakini DFL haisense kituJaribu
Saa 4Kuanzia saa ngapi?
Points zikiwa Sawa bingwa anapatikana kwa nini ?Tumecheza mechi mbili kila mtu kashinda mmoja haya magoli Je ?Tutamtafsiri vip bingwa wakati nimekufunga, umenifunga
Halafu unasema ungetulia ungenifunga nying, sasa utatulia lin[emoji23][emoji23]
We shukuru tu ile dhahama yako itakayokufika bado ipo njiani
Una ubabe gani wakati katika mechi kumi umeshinda moja na umepigwa goli Nne sio chini ya mara mbili halafu unajisifu.Mbabe wenu nipo hapa
Sina historia 😂😆😂Jambo lingine ni kwamba kama ushawahi kusikia neno "comeback" katika ulimwengu wa soka na ukawa hujui maana yake, basi maana yake ndio hiyo hapo chini
Bila ya shaka huna historia hii mbele yangu
View attachment 2335520
Nyie wawili ingependeza sana mkajoin ligi yangu inaanza kesho mkapasuana vizuriSina historia [emoji23][emoji38][emoji23]
1.Naongoza kukufunga mechi nyingi
2.Magoli kwa ujumla
3.Ushindi wa kapa mkubwa zaidi.
4.Wewe umenizidi siku mmoja tu ambayo ulikimbia siku zote kichapo au sare
Nb: Haya Weka historia yako dhidi yangu kama zitavuka mbili [emoji23][emoji23][emoji38]
Fene kiande ataiabisha JamiiForum wacha master niende na benders ya hili jukwaa nilete Kombe humu na niiheshimishe JfNyie wawili ingependeza sana mkajoin ligi yangu inaanza kesho mkapasuana vizuriView attachment 2335666
Njoo sas nikupe mazoeziFene kiande ataiabisha JamiiForum wacha master niende na benders ya hili jukwaa nilete Kombe humu na niiheshimishe Jf
Taja code unanikimbia kila ckuFene kiande ataiabisha JamiiForum wacha master niende na benders ya hili jukwaa nilete Kombe humu na niiheshimishe Jf
Wewe kiande wangu wa pili baada ya frustration akifuatia fene sasa nikuogope ?Taja code unanikimbia kila cku
TelegramNi WhatsApp group au nin?
Nipe mrejesho
Wasap gruopNi WhatsApp group au nin?
Nipe mrejesho