Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

Tutamtafsiri vip bingwa wakati nimekufunga, umenifunga

Halafu unasema ungetulia ungenifunga nying, sasa utatulia lin[emoji23][emoji23]

We shukuru tu ile dhahama yako itakayokufika bado ipo njiani
Points zikiwa Sawa bingwa anapatikana kwa nini ?Tumecheza mechi mbili kila mtu kashinda mmoja haya magoli Je ?

Halafu kumbuka tokea tuanze kucheza umenizidi siku mmoja siku ya kwanza tu siku zilizobaki nikichapo au sare na hivyo kitakwimu mimi bando bingwa wako na wewe ni kiande wangu 😂😂😆😆
 
Jambo lingine ni kwamba kama ushawahi kusikia neno "comeback" katika ulimwengu wa soka na ukawa hujui maana yake, basi maana yake ndio hiyo hapo chini


Bila ya shaka huna historia hii mbele yangu
View attachment 2335520
Sina historia 😂😆😂

1.Naongoza kukufunga mechi nyingi
2.Magoli kwa ujumla
3.Ushindi wa kapa mkubwa zaidi.
4.Wewe umenizidi siku mmoja tu ambayo ulikimbia siku zote kichapo au sare

Nb: Haya Weka historia yako dhidi yangu kama zitavuka mbili 😂😂😆
 
Sina historia [emoji23][emoji38][emoji23]

1.Naongoza kukufunga mechi nyingi
2.Magoli kwa ujumla
3.Ushindi wa kapa mkubwa zaidi.
4.Wewe umenizidi siku mmoja tu ambayo ulikimbia siku zote kichapo au sare

Nb: Haya Weka historia yako dhidi yangu kama zitavuka mbili [emoji23][emoji23][emoji38]
Nyie wawili ingependeza sana mkajoin ligi yangu inaanza kesho mkapasuana vizuri
Screenshot_2022-08-26-12-38-17.jpg
 
Back
Top Bottom