adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Wewe jamaa hauishiwi vituko mimi sijawahi kulalamikia wewe wala yeyote humu kuwa wachezaji wangu hawana power kwani nilisemaga kwa watu wa humu jinsi mlivyo viande hata wachezaji wawe na power kama Hulk kwangu hamtoboi labda ya kwenye ligi ndio niliolalamikia coz wale tukiacha power Wana kiwango tofauti na wewe.adriz labda nikuambie tu, naona sasa imetosha, kama kufurahi umefurahi mno, umetamba vya kutosha
Kikubwa nilichokiplan tuende kwa facts na sasa hamna noma
Fene sasa nimeenda kufungua kile kitabu changu nilichopewa na babu yangu ili niichukue hii himaya rasmi
Waambie hao nduguzo kina frastruation na wengineo bwana Fene sio wa kumsogelea tena
Najua utasema hata kwenye kanga yapo ila jiepushe hii ni tahadhari
Nb/ sitaki vile visingizio eti wachezaj wako wana power huo ni utoto
Bali mimi nilikulaumu kuna na wa bluu bando upo level za kangaloo na @Frustation halafu unaonewa kwenye ligi ambapo mimi nikiwa nawachezaji kama wako sishikiki .