Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

Mtandao haupo sawa kwa hiyo hatujamaliza mkataba wetu sawa? maana usianze kutukana Mamba kabla ya kuumaliza mto.
Poa sio shida na hata leo nikikufunga sitotamba sana, ntakusubir j.nne zile game zetu tatu ndo nimalize shughuli, na nichukue kiti rasmi
 
Na haya ndio matokeo yetu kwa mchezo wa leo kati yangu na Master adriz

Screenshot_20220902-222308_1.jpg
 
Na haya ndio matokeo yetu kwa mchezo wa leo kati yangu na Master adriz

View attachment 2343577
Hayo matokeo ni batili coz tuliahidiana mechi mbili na mechi za mbili Huwa natoa kipigo heavy kama juzi ulivyokula sita licha ya kushinda mchezo wa nyuma yake sasa inabidi uelewe
 
Hayo matokeo ni batili coz tuliahidiana mechi mbili na mechi za mbili Huwa natoa kipigo heavy kama juzi ulivyokula sita licha ya kushinda mchezo wa nyuma yake sasa inabidi uelewe
Mbona maji utaita mma tu, eti matokeo batili [emoji23]

Poa kama utahitaj ya kirafiki tutakiwasha tena, ila j/nne tutapiga zile game tatu za kukuzima kelele zako rasmi humu
 
Jaribu na Fene huyo hata ukiwa na wachezaji wa Taifa staz unapiga tu ni kibonde wa kiwango cha juu.
Endelea kumponza tu mwenzako, nikukumbushe tu game 3 za mwisho kati yangu na yako umekufa mara mbil una ushind mmoja

Na ushukuru jana ulikimbia la sivyo[emoji23][emoji23]

End of adriz era
 
Endelea kumponza tu mwenzako, nikukumbushe tu game 3 za mwisho kati yangu na yako umekufa mara mbil una ushind mmoja

Na ushukuru jana ulikimbia la sivyo[emoji23][emoji23]

End of adriz era
Mbona unaweka tatu na siyo kumi au tano ? 😂 😂 😆 na katika hizi tatu mbona haujaweka rekodi ya kukupiga 6 kipigo ambacho hakijawahi kutolewa na yeyote humu ?
 
Asikuponze mwenzako huyo,

Tazama matokeo ya mwisho hapo juu halafu muulize timu yako ni ipi hapo?
Hata Man U matokeo ya mwisho wameshinda Je yupo nafasi ya ngapi? 😂 😂 😂
 
Mbona unaweka tatu na siyo kumi au tano ? [emoji23] [emoji23] [emoji38] na katika hizi tatu mbona haujaweka rekodi ya kukupiga 6 kipigo ambacho hakijawahi kutolewa na yeyote humu ?
Rekodi yako haina mashiko sana ungejitahid walau ungeshinda 6 kwa 1 au 6 kwa 2 lakin 6 kwa 3

Kumbuka nishakufunga 4 kwa 1
 
Rekodi yako haina mashiko sana ungejitahid walau ungeshinda 6 kwa 1 au 6 kwa 2 lakin 6 kwa 3

Kumbuka nishakufunga 4 kwa 1
Kati ya 4 na 6 upi kubwa unajua timu fulani na timu falani ukicheza rekodi muhimu zinaangaliwa ;

*kafungwa mabao mengi
*Kipigo kikubwa zaidi
*Nani aliyeshinda mechi nyingi zaidi

Kati ya hizo kila kipengele wewe ni looser 😂😂😆 hapo rekodi nyingine nimeficha kuogopa wageni na wakina kangaloo wasikubeze na kukudharau.

Sasa mimi sitaki mambo ya historia coz najiamini ni Master ndio maana nimekupa mechi tatu tu najivua ukifunga mechi nyingi zaidi Kati ya hizo najivua vyeo vyangu vyote, haya kazi min kwako kupambana univue crown ya uKing humu 👑 👑👑
 
Kati ya 4 na 6 upi kubwa unajua timu fulani na timu falani ukicheza rekodi muhimu zinaangaliwa ;

*kafungwa mabao mengi
*Kipigo kikubwa zaidi
*Nani aliyeshinda mechi nyingi zaidi

Kati ya hizo kila kipengele wewe ni looser [emoji23][emoji23][emoji38] hapo rekodi nyingine nimeficha kuogopa wageni na wakina kangaloo wasikubeze na kukudharau.

Sasa mimi sitaki mambo ya historia coz najiamini ni Master ndio maana nimekupa mechi tatu tu najivua ukifunga mechi nyingi zaidi Kati ya hizo najivua vyeo vyangu vyote, haya kazi min kwako kupambana univue crown ya uKing humu [emoji146] [emoji146][emoji146]
We endelea kuongelea hizo historia lakin jua ndo basi tena, siku hiz utafurahi ukiangalia hizo historia tu kibaya zaid hata historia zenyewe zinaenda kufutika ssa

Huna jipya tena

Nb/ nikikuwasha zile game 3 uje hapa kunipa heshima yangu
 
We endelea kuongelea hizo historia lakin jua ndo basi tena, siku hiz utafurahi ukiangalia hizo historia tu kibaya zaid hata historia zenyewe zinaenda kufutika ssa

Huna jipya tena

Nb/ nikikuwasha zile game 3 uje hapa kunipa heshima yangu
Na nikikufunga itabidi kuchagua jina jipya maana la chini zaidi maana hautakuwa tena na hadhi ya kuitwa kiande tena coz hata kiande atakuwa amekuzidi ubora .

Itabidi na Mimi niwe kama Mwakinyo sitotaka kushusha brand yangu kucheza na viande tena mpk miezi ipite na wawe wamajiimarisha kisawasawa.
 
Fene ujipange kiande wangu taarifa niliyopata sasa J4 panapo majaaliwa nitakuwa sehemu yenye utulivu na mtandao unashika vizuri sasa nimepanga nicheze huku nimeweka kitambaa machoni maana sitaki nikuaibishe sana nitakua kama mwamba hapo chini ambaye aliwahi kufanya hivyo kwenye competition ya ulengaji shabaha kwa na alishinda coz anajiamini na kutambua fika kua mpinzani wake kiande.

1661343785316.jpeg.jpg


Huyo jamaa kama mimi hataki madharau yeye dozi tu.
 
Back
Top Bottom