MrJobless
JF-Expert Member
- Jan 20, 2023
- 1,091
- 1,342
Oi Mi hata nitumie Blue Cards we uwezi kunifunga AminKwa wachezaji wa mchongo wale lazima niwe mweupe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oi Mi hata nitumie Blue Cards we uwezi kunifunga AminKwa wachezaji wa mchongo wale lazima niwe mweupe
tupo tunakimbizana na golden deerNa maleo mpo
Upo na Old Version au New Versionhuku pia
tupo tunakimbizana na golden deer
Oi Mi hata nitumie Blue Cards we uwezi kunifunga Amin
Next unapocheza tumia wachezaji normal hata kama ni ronaldo,mercy and alikes ila usiwachome sindano. To feel it natural cheza bila hacked players alafu tushindane vizuri.Oi Mi hata nitumie Blue Cards we uwezi kunifunga Amin
Me inaitwaje hii?Upo na Old Version au New Version View attachment 2739069
Mi situmiag wachezaj wenye Majina Makubwa Bro na kunifunga uwezNext unapocheza tumia wachezaji normal hata kama ni ronaldo,mercy and alikes ila usiwachome sindano. To feel it natural cheza bila hacked players alafu tushindane vizuri.
Mbn nilikuambia MALEO (INDONESIA BUS SIMULATOR)Ga
Me inaitwaje hii?
Umewa update uwezo wao so ni maroboti hao in gamesMi situmiag wachezaj wenye Majina Makubwa Bro na kunifunga uwez
Upo na Old Versionni newUpo na Old Version au New Version View attachment 2739069
Ila weka wachezaji wa kawaida sio hao mabustaTukutane saa 4 au 5 uck mweny shauku ya kufungwa
Ya basi ndio ipo?Tukutane saa 4 au 5 uck mweny shauku ya kufungwa
Maneno meeengi ila mpaka kesho unanikimbia
Nyie mnaotumia wachezaji overated sio fair kabisa.
Ebu saa 5 uje WhatsApp kabsa nikupasue tuheshimiane
Na wewe haukakatazwa mkuu ,Ingekuwa unfair kama amehack lakini uzuri DLS 23 hakuna kuhack habari hizo ziliisha DLS19 ,mimi imechukua miaka 2 lakini wachezaji walikuwa na nyota ni 7 kama sikosei .Nyie mnaotumia wachezaji overated sio fair kabisa.
Kwa mtu anayejua game kama mm wachezaji sio kikwazo kabisa mimi kipindi kile nacheza na Fene yeye kikosi chake kiko full power mimi hakuna hata mmoja yuko full nilikuwa na mfunga mara nyingi na yeye ananifunga na hats nilipaopata kikosi stable kuliko cha mwanzo haikusaidia nikawa nafungwa mara nyingi tu nikija vibaya.Nyie mnaotumia wachezaji overated sio fair kabisa.