Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

Na wewe haukakatazwa mkuu ,Ingekuwa unfair kama amehack lakini uzuri DLS 23 hakuna kuhack habari hizo ziliisha DLS19 ,mimi imechukua miaka 2 lakini wachezaji walikuwa na nyota ni 7 kama sikosei .

Kulalamika ni Unfair wakati wenzako wanatumia resource na time mpaka kufika levo hiyo.
Acha na Kibonde Mi nimecheza na Kikos Cha Arsenal bila kuwa developed na nikafika Tier 3 (na nilifungwa Game ya Kwanza tier 10 km sio 9)
 
Kwa mtu anayejua game kama mm wachezaji sio kikwazo kabisa mimi kipindi kile nacheza na Fene yeye kikosi chake kiko full power mimi hakuna hata mmoja yuko full nilikuwa na mfunga mara nyingi na yeye ananifunga na hats nilipaopata kikosi stable kuliko cha mwanzo haikusaidia nikawa nafungwa mara nyingi tu nikija vibaya.

Singasinga nilimfunga nikiwa na kikosi dhaifu wakati wake wapo maximum ,MrJobless kanifunga sana akiwa na kikosi cha kawaida huku mimi wengi ni full mkoko.

Hoja ya kikosi dhaifu kama kikosi ni kikwazo pambana uwajaze players wako.
Nilimwambia ni Uwezo sio Kikos tena Mi nikikuta mtu ana kikos kdg uwaga nacheza Kwa kumuhurumia Kabisa
 
Tukubaliane mapema kwenye huu Uzi master ni Mi hapa. Nimefunga wote & kufungwa n mtu Moja tu ambae nae nimempa kipigo hatari . Km yupo ambae sijamfunga Aje tumalizane.
 
Kwa mtu anayejua game kama mm wachezaji sio kikwazo kabisa mimi kipindi kile nacheza na Fene yeye kikosi chake kiko full power mimi hakuna hata mmoja yuko full nilikuwa na mfunga mara nyingi na yeye ananifunga na hats nilipaopata kikosi stable kuliko cha mwanzo haikusaidia nikawa nafungwa mara nyingi tu nikija vibaya.

Singasinga nilimfunga nikiwa na kikosi dhaifu wakati wake wapo maximum ,MrJobless kanifunga sana akiwa na kikosi cha kawaida huku mimi wengi ni full mkoko.

Hoja ya kikosi dhaifu kama kikosi ni kikwazo pambana uwajaze players wako.
Ww na MrJobless wote ni watu wa cheating ndio maana mnaongeza uwezo ili iwabusti kwenye ushindi. Kama unajiamini kwa nn uhsngaike na boosting? Kuna weakness beyond your boosting
 
Nilimwambia ni Uwezo sio Kikos tena Mi nikikuta mtu ana kikos kdg uwaga nacheza Kwa kumuhurumia Kabisa
Sio kweli mchezaji ukimpandisha uwezo lazima awe na extra skills,stamina,acc ,reaction na speeding. Kama kungekuwa hakuna effect usingetumia nguvu nyingi kuwapa uwezo ambao sio wao. Mpira ukikutana na mesi lazima awe na uwezo kuliko Rashford, sasa nyie mnapindua meza eto Rash anaupiga mwng kuliko Mess. What a ridiculous!
 
Sio kweli mchezaji ukimpandisha uwezo lazima awe na extra skills,stamina,acc ,reaction na speeding. Kama kungekuwa hakuna effect usingetumia nguvu nyingi kuwapa uwezo ambao sio wao. Mpira ukikutana na mesi lazima awe na uwezo kuliko Rashford, sasa nyie mnapindua meza eto Rash anaupiga mwng kuliko Mess. What a ridiculous!
Mkuu Acha lawama cheza soka [emoji16]
 
Back
Top Bottom