Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshaanza kujifua ktk career maana jana usiku nili-update na kuingia online kichwakichwa nilifanywa vibaya nikatoka ndukiWakitoa mpya huwa wanaUpdate mara kwa mara baada ya kusikiliza maoni usikute wiki hii likawa updated kidogo huenda kero zako Mr Kiande Fene zikatatuliwa.
Mi siupdate ili niwakande vizuri [emoji16][emoji1787][emoji1787]Nimeshaanza kujifua ktk career maana jana usiku nili-update na kuingia online kichwakichwa nilifanywa vibaya nikatoka nduki
Now ktk career nimeshaanza kupiga tano tano,
Kiufupi naweza sema tabu bado ipo palepale
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mi siupdate ili niwakande vizuri [emoji16][emoji1787][emoji1787]
Mwaka huu lazima mniite baba
Ile R+ kwa juu ina kazi gani?Wameongeza ushindani Mkubwa sana ukishinda hata goli Tano kwenye carrier games ww ni hatarri maana game ni ngumu sana wameongeza ushindani, pia ikitokea mchezaji wako kashinda hat trick anapewa mpira.
Kwa upande wa commentary wameonga Mtangazaji Mhispani so unaweza change pia unaweza weka English commentary ambaye wamemongezea mnaneo kidogo tu.
Pia Kuna draft game ambayo unakuta Kuna mastar tupu unachukua unashinda game unapewa money
Kingine kwa upande wa skills wameongeza unaweza ita wachezaji wawili kukaba
Inshort mwaka huu wametoa game Bora sana.
Huo ni kwa upande wangu.
Ile R+ ile nahisi replay Sina uhakika lakini.Ile R+ kwa juu ina kazi gani?
Na je unachange vp commentary?
Na mbona ukiingia uwanjani naona direct wachezaj wameshatimba dimbani ni kwangu tu au kwa wote
Ndiyo hiyo hapo kwenye picha.Hio draft ipo humo humo kwenye DLS au tofauti ?
Kama kwenye Carrier games wamesema hivyo ni vizuri maana Mimi baada ya kufika stage zote niliacha kucheza carrier ni mwendo wa online tu coz wale napiga hata goli 10.
Angalia hapo nilipo show direction ⬇️ kwenye hiyo secondaryNielekeze jinsi ya kuita wawili wawili nimkabe Messi wa Fene vizuri
Upo tukatest?Angalia hapo nilipo show direction [emoji3596] kwenye hiyo secondary
Leta codeUpo tukatest?
Ushaanza uogaButton mbona kubwa haiwezekani kuzipinguzq ikawa A,b ,C viduara vidogo ?
Wewe endelea kunikimbia ila ukijaa kwenye mfumo utakimbia humu.Ushaanza uoga
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Hakuna kitu nimewakanda kama namkanda Fene Mr Kiande halafu hawa Chelsea je Man U na Evaton itakuwaje ?View attachment 2833029