adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Nimekuwa Mzembe Leo kama nimekula vitu vya Magahyo , ngoja nikacheki wakorea nusu episode nipoze machungu nilale ila natangaza Leo nilikuwa kama napasha moto mtauona kesho panapo majaaliwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuwa Mzembe Leo kama nimekula vitu vya Magahyo , ngoja nikacheki wakorea nusu episode nipoze machungu nilale ila natangaza Leo nilikuwa kama napasha moto mtauona kesho panapo majaaliwa.
Eee libdrible lirefuHii mbna siijui au ni ile ya kutanguliza mpira mbele
Sawaa mkuuTukutane next time
Net imenikataa mazima
Jaribu kutumia tactics zote ukiwa na mpira cheza attacking ukiloose position cheza balanced had defenceUmetisha sana
Hapo kwenye tactics ipi nzuri kati ya attacking, balanced na Defensively
Binafsi ni mdau wa balanced sijawai jaribu hizo nyingine
Pia issue nyingine kwenye kona je kuna technique yoyote ya kuwin vichwa kabla ya wapinzani..
Maana wale wanaopiga kona ndefu then anatoa pasi ya kichwaa ni janga ambalo nimeshalishindwa...
Eeh mkuuEee libdrible lirefu
Sawa sawaa mkuuNimekuwa Mzembe Leo kama nimekula vitu vya Magahyo , ngoja nikacheki wakorea nusu episode nipoze machungu nilale ila natangaza Leo nilikuwa kama napasha moto mtauona kesho panapo majaaliwa.
Duuh kwa hiyo niwe nabadilisha Kila muda??Jaribu kutumia tactics zote ukiwa na mpira cheza attacking ukiloose position cheza balanced had defence
Kama Ronaldo simuelewi kabisa ila kuna watu wanamtumia fresh tuuDream sijui wanashusha viwango vya wachezaji ? maana miaka miwili iliyopita na mwaka Jana VVD wangu alikuwa kitasa mwaka huu Mzembe japo Yuko full ndio maana nafungwa kizembe.
Mimi kosi langu lote wazee hawapo kwenye soko na ubora misinu ya karibuni , inabidi nilete vivazi vipya
Eee hivyooDuuh kwa hiyo niwe nabadilisha Kila muda??
Sawaa twende sasa nikajaribu😃Eee hivyoo
As long as siipendi madrid sijawahi miliki mcheza ji wa madrid zaidi ya mendy. Viny ndo kabisaaKama Ronaldo simuelewi kabisa ila kuna watu wanamtumia fresh tuu
Mkuu unaleta ucatalunya adi kwenye magemu😂As long as siipendi madrid sijawahi miliki mcheza ji wa madrid zaidi ya mendy. Viny ndo kabisaa
Code japo natumia wifi.. ya mzigoni nimepotea jua ni networkSawaa twende sasa nikajaribu😃
Mimi ni liverpoolMkuu unaleta ucatalunya adi kwenye magemu😂
2025BCode japo natumia wifi.. ya mzigoni nimepotea jua ni network
2025B
😃 Bora huna varane😂Mimi ni liverpool
Oyaa network chenga mzee wifi haipo stable kabisa😃 Bora huna varane😂
Sawaa mkuu siku ukitulia nishtue nimeona tukicheza vzr kabisa nitapata kitu mpira wako sio pow🙌🙌🙌🙌Oyaa network chenga mzee wifi haipo stable kabisa
Mpira fulani mgumu, dls live bila counter hutoboiSawaa mkuu siku ukitulia nishtue nimeona tukicheza vzr kabisa nitapata kitu mpira wako sio pow🙌🙌🙌🙌