Bahati furaha
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 3,054
- 1,415
Kunyanyua hilo dege from Dar na kutua KIA au MWZ ni matumizi mabaya ya resources; inabidi likageuzie South Sudan kuitafuta runway. Dude ambalo uwezo wake wa "wese" ni lita 126,210 yaani zile semi-trailer tanker za mafuta zinamimina mle 3 na bado halijai. Sio mchezo.
Ina urefu gani na hali yake ikoje?Runway ya Mwanza ni nzuri sana na of course ndiyo ndefu kuliko runways zote hapa Tanzania.
View attachment 811187
View attachment 811188
Achana na hao jamaa, hata uwagonge na nyundo kichwani hawasikii. Itikadi za ufipa zimewapofua na kuwafanya viziwi kabisaa.Imeshasemwa wazi kuwa, mipango ni kuifanya Dreamliner iende Guangzhou (China), Bangkok (Thailand) na Mumbai (India). Kuna mambo ya vibali, kujitangaza na logistics kwa ujumla. Ndiyo maana inaanza hapa Bongo Viwanja vya KIA na Mwanza.
Hata znz sio robo saa duhNi kama robo saa ila itabidi likageuzie South Sudan kuutafuta uwanja maana liki-takeoff Dar kabla halijakaa sawa linakuwa limeshapitiliza KIA.
MuongoDk 10 hivi angani likinyanyuka kushika mawingu dk 5 mwanza hii hapa linatua mda mwingi utatumika kwenye kutua
Ina hali nzuri kabisa ndugu. Marekebisho mengi yameshafanyika tangu uamuzi wa Serikali mwaka 2013 kujenga Uwanja huyo kwa standard ya kimataifa kwani walichoanza nacho ni kuongeza urefu wa runway, pamoja na kujenga mitaro ya kuondoa maji uwanjani ambayo haijakamilika yote.Ina urefu gani na hali yake ikoje?
Mkuu Zanzibar umeenda mbali sana; ukitaka unaweza hata kulinyanyua hapo hapo lilipo na ukarudi tena kutua hapo hapo bila kwenda popote. Hoja ni je, is it economically feasible? Soma uelewe ndugu!Runway ya Mwanza ni nzuri sana na of course ndiyo ndefu kuliko runways zote hapa Tanzania.
View attachment 811187
View attachment 811188
Ndege mpya ya ATCL ya Dreamliner, inatarajiwa kuanza safari zake za tarehe 29 Julai 2018 kwenda Mwanza na KLM kwa kishindo baada ya tiketi kuisha mpaka za kufikia tarehe 18 Agosti 2018. Hongera sana Rais Magufuli kwa kufikiria madude kama haya.
View attachment 807780
Ahsante kwa ukarimu mkuu.Ina hali nzuri kabisa ndugu. Marekebisho mengi yameshafanyika tangu uamuzi wa Serikali mwaka 2013 kujenga Uwanja huyo kwa standard ya kimataifa kwani walichoanza nacho ni kuongeza urefu wa runway, pamoja na kujenga mitaro ya kuondoa maji uwanjani ambayo haijakamilika yote.
Kumbuka hata ujenzi wa Tower ya kisasa na kubwa kuliko zote Tanzania na Afrika Mashariki inakaribia kukamilika. Karibu Mwanza ndugu.
sijakuelewa hata kidogo! shirika la ndege linapata wapi pengine mapato yake kama si mauzo ya tiketi?Hamuwezi kuendesha hili shirika kwa faida kwa kutegemea mauzo ya ticket tu hasa tukianza route za kimataifa.
Gharama za kuhudumia ndege,mafuta, mishahara ya wafanyakazi, chakula kwa abiria, hoteli kwa abiria panapotokea matatizo, charge za kupaki/kutua katika viwanja vya ndege,kulipa mainjinia wa kuihudumia, n.k kamwe haviwezi kubebwa na mauzo ya ticket tu.
Wanaofanikiwa katika hii biashara hawategemei mauzo ya ticket tu vinginevyo mashirika mengi yasingekuwa yanatangaza hasara.
Pia, eleweni tu Bombardier zilizokuwa zinatumia hiyo route sasa zinakosa abiria na ni hasara kuzipaki kwa huo mwezi mzima.
hata mv DAR ilianza kwa mbwembwee kuuubwa... mwishoee.... ikatafutiwa BIG PARKING.. nahii NJIA YA NDOTO aka dreamliner sijui itapakiwa wapiπ΅πNdege mpya ya ATCL ya Dreamliner, inatarajiwa kuanza safari zake za tarehe 29 Julai 2018 kwenda Mwanza na KLM kwa kishindo baada ya tiketi kuisha mpaka za kufikia tarehe 18 Agosti 2018. Hongera sana Rais Magufuli kwa kufikiria madude kama haya.
View attachment 807780
mimi sijamwelewa hata kidogo huyo jamaa !sasa shirika kama mapato kwenye tiket na dege iko full booked mpaka tarehe za sayari ya jupiter hasara iko wapu hapo?Tatizo nini wakati fidia iko kwenye bei ya Tiketi hata likigeuzia Ulaya kutua KIA au Mwanza wewe kinakuwasha nini kama cost zote ziko covered kwenye Tiketi mwehu Na msomi koko wewe .
Hata bata mzinga ni ndege ingawa haruki. Sisi fahari yetu kuwa na madege yetu.
kwi kwi kwi kwiππππHata bats mzinga ni ndege ingawa haruki. Sisi fahari yetu kuwa na madege yetu.
kula 5 kwanza afu nambie uko wapi niruke nije tugongeshe glasiππHata bats mzinga ni ndege ingawa haruki. Sisi fahari yetu kuwa na madege yetu.
You're warmly welcome mzee. Natamani ukatembelee hadi visiwa vidogo vidogo vya uvuvi ziwani Victoria. Utapata experience bora sana probably kuliko hata ya kutalii Serengeti NP. Kuna ustaarabu mkubwa wa biashara ya bidhaa na ya kimwili kwa namna ambayo haiwezi kuwa replicated sehemu yoyote nchini ya vijijini.Ahsante kwa ukarimu mkuu.
Hata mimi nina ndoto siku 1 nifike
Hatukuanza leo mkuuHongera JPM, Hongera Tanzania. Sasa tunaweza kutembea kifua mbele.