Dreamliner yaanza safari kwa kishindo: Tiketi za Mwanza na KLM tayari zimeisha mpaka tarehe 18 Agosti 2018

Dreamliner yaanza safari kwa kishindo: Tiketi za Mwanza na KLM tayari zimeisha mpaka tarehe 18 Agosti 2018

Nani alikudanganya hivyo?
Hii inaondoka Dar na inatua Zanzibar bila shida. Tafuta maarifa ndugu.
Sio shabiki ila ndio ukweli.
Kunyanyua hilo dege from Dar na kutua KIA au MWZ ni matumizi mabaya ya resources; inabidi likageuzie South Sudan kuitafuta runway. Dude ambalo uwezo wake wa "wese" ni lita 126,210 yaani zile semi-trailer tanker za mafuta zinamimina mle 3 na bado halijai. Sio mchezo.
 
Imeshasemwa wazi kuwa, mipango ni kuifanya Dreamliner iende Guangzhou (China), Bangkok (Thailand) na Mumbai (India). Kuna mambo ya vibali, kujitangaza na logistics kwa ujumla. Ndiyo maana inaanza hapa Bongo Viwanja vya KIA na Mwanza.
Achana na hao jamaa, hata uwagonge na nyundo kichwani hawasikii. Itikadi za ufipa zimewapofua na kuwafanya viziwi kabisaa.
 
Ina urefu gani na hali yake ikoje?
Ina hali nzuri kabisa ndugu. Marekebisho mengi yameshafanyika tangu uamuzi wa Serikali mwaka 2013 kujenga Uwanja huyo kwa standard ya kimataifa kwani walichoanza nacho ni kuongeza urefu wa runway, pamoja na kujenga mitaro ya kuondoa maji uwanjani ambayo haijakamilika yote.
Kumbuka hata ujenzi wa Tower ya kisasa na kubwa kuliko zote Tanzania na Afrika Mashariki inakaribia kukamilika. Karibu Mwanza ndugu.
 
Ndege mpya ya ATCL ya Dreamliner, inatarajiwa kuanza safari zake za tarehe 29 Julai 2018 kwenda Mwanza na KLM kwa kishindo baada ya tiketi kuisha mpaka za kufikia tarehe 18 Agosti 2018. Hongera sana Rais Magufuli kwa kufikiria madude kama haya.
View attachment 807780

Nafasi zipo bwana Mbona me Jana nimekwenda offisini kwao nikaambiwa nafasi zipo, labda kwa daraja la bussnes class
 
Ina hali nzuri kabisa ndugu. Marekebisho mengi yameshafanyika tangu uamuzi wa Serikali mwaka 2013 kujenga Uwanja huyo kwa standard ya kimataifa kwani walichoanza nacho ni kuongeza urefu wa runway, pamoja na kujenga mitaro ya kuondoa maji uwanjani ambayo haijakamilika yote.
Kumbuka hata ujenzi wa Tower ya kisasa na kubwa kuliko zote Tanzania na Afrika Mashariki inakaribia kukamilika. Karibu Mwanza ndugu.
Ahsante kwa ukarimu mkuu.
Hata mimi nina ndoto siku 1 nifike
 
Hamuwezi kuendesha hili shirika kwa faida kwa kutegemea mauzo ya ticket tu hasa tukianza route za kimataifa.

Gharama za kuhudumia ndege,mafuta, mishahara ya wafanyakazi, chakula kwa abiria, hoteli kwa abiria panapotokea matatizo, charge za kupaki/kutua katika viwanja vya ndege,kulipa mainjinia wa kuihudumia, n.k kamwe haviwezi kubebwa na mauzo ya ticket tu.

Wanaofanikiwa katika hii biashara hawategemei mauzo ya ticket tu vinginevyo mashirika mengi yasingekuwa yanatangaza hasara.

Pia, eleweni tu Bombardier zilizokuwa zinatumia hiyo route sasa zinakosa abiria na ni hasara kuzipaki kwa huo mwezi mzima.
sijakuelewa hata kidogo! shirika la ndege linapata wapi pengine mapato yake kama si mauzo ya tiketi?
 
Ndege mpya ya ATCL ya Dreamliner, inatarajiwa kuanza safari zake za tarehe 29 Julai 2018 kwenda Mwanza na KLM kwa kishindo baada ya tiketi kuisha mpaka za kufikia tarehe 18 Agosti 2018. Hongera sana Rais Magufuli kwa kufikiria madude kama haya.
View attachment 807780
hata mv DAR ilianza kwa mbwembwee kuuubwa... mwishoee.... ikatafutiwa BIG PARKING.. nahii NJIA YA NDOTO aka dreamliner sijui itapakiwa wapi😵😀
pic+ferry.jpg
 
Tatizo nini wakati fidia iko kwenye bei ya Tiketi hata likigeuzia Ulaya kutua KIA au Mwanza wewe kinakuwasha nini kama cost zote ziko covered kwenye Tiketi mwehu Na msomi koko wewe .
mimi sijamwelewa hata kidogo huyo jamaa !sasa shirika kama mapato kwenye tiket na dege iko full booked mpaka tarehe za sayari ya jupiter hasara iko wapu hapo?
 
Ahsante kwa ukarimu mkuu.
Hata mimi nina ndoto siku 1 nifike
You're warmly welcome mzee. Natamani ukatembelee hadi visiwa vidogo vidogo vya uvuvi ziwani Victoria. Utapata experience bora sana probably kuliko hata ya kutalii Serengeti NP. Kuna ustaarabu mkubwa wa biashara ya bidhaa na ya kimwili kwa namna ambayo haiwezi kuwa replicated sehemu yoyote nchini ya vijijini.
 
Back
Top Bottom