Bahati furaha
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 3,054
- 1,415
Nani alikudanganya hivyo?
Hii inaondoka Dar na inatua Zanzibar bila shida. Tafuta maarifa ndugu.
Sio shabiki ila ndio ukweli.
Hii inaondoka Dar na inatua Zanzibar bila shida. Tafuta maarifa ndugu.
Sio shabiki ila ndio ukweli.
Kunyanyua hilo dege from Dar na kutua KIA au MWZ ni matumizi mabaya ya resources; inabidi likageuzie South Sudan kuitafuta runway. Dude ambalo uwezo wake wa "wese" ni lita 126,210 yaani zile semi-trailer tanker za mafuta zinamimina mle 3 na bado halijai. Sio mchezo.