ole sururu
Member
- Apr 30, 2018
- 64
- 26
Duh!kona yake inakuwa kenya au Uganda?kama ni hivyo itabidi ikageuzie misri au Tunisia.Ni kama robo saa ila itabidi likageuzie South Sudan kuutafuta uwanja maana liki-takeoff Dar kabla halijakaa sawa linakuwa limeshapitiliza KIA.
KweliLikianza kufa mrudi na unzi mwingine humu
Ndege mpya ya ATCL ya Dreamliner, inatarajiwa kuanza safari zake za tarehe 29 Julai 2018 kwenda Mwanza na KLM kwa kishindo baada ya tiketi kuisha mpaka za kufikia tarehe 18 Agosti 2018. Hongera sana Rais Magufuli kwa kufikiria madude kama haya.
View attachment 807780
Ndio maana wakati linatua lilienda mbali sana tukasubiri litue wapi wakati tumeliona limetupita hapa juu kipawa kumbe ngoma ilienda karibu na mafia ndio likageuza kuitafuta run wayKunyanyua hilo dege from Dar na kutua KIA au MWZ ni matumizi mabaya ya resources; inabidi likageuzie South Sudan kuitafuta runway. Dude ambalo uwezo wake wa "wese" ni lita 126,210 yaani zile semi-trailer tanker za mafuta zinamimina mle 3 na bado halijai. Sio mchezo.
Achana nao hao!Tatizo liko wapi si zinakuwa zimenunuliwa Na shirika limeingiza pesa? Chadema magwanda ya chadema Huwa mnawauzia CCM? Si mnajiuzia wenyewe?
Lakini si Huwa mumeuza? Very poor argument
Mtumeee!Naomba kuuliza hilo dude lina bima ? Mfano likianguka Leo je tutalipwa jipya?
Hamuwezi kuendesha hili shirika kwa faida kwa kutegemea mauzo ya ticket tu hasa tukianza route za kimataifa.
Gharama za kuhudumia ndege,mafuta, mishahara ya wafanyakazi, chakula kwa abiria, hoteli kwa abiria panapotokea matatizo, charge za kupaki/kutua katika viwanja vya ndege,kulipa mainjinia wa kuihudumia, n.k kamwe haviwezi kubebwa na mauzo ya ticket tu.
Wanaofanikiwa katika hii biashara hawategemei mauzo ya ticket tu vinginevyo mashirika mengi yasingekuwa yanatangaza hasara.
Pia, eleweni tu Bombardier zilizokuwa zinatumia hiyo route sasa zinakosa abiria na ni hasara kuzipaki kwa huo mwezi mzima.
Adui wako ni chadema tu...mtanyoka tu ngoja liingize hasara na kujaa linajaza.Hii ni aibu kubwa sana kwa chadema
Aiseeee""" ndio yale Yale ya wasanii na makampuni '' kupeleka pesa BASATATRA watakapokuwa wabakufata ofisini kwako pia usiwakimbie mpe Hongera Rais Magufuli, maana hilo dude linaingiza hasara, na ili kufidia itabid mwananch wa chini Aumie,
Kwahiyo sitarajii kuona Ukileta uzi humu kuwa TRA inakubana na kodi zimeongezeka
Siku zote uzinduzi hujaza watu hasa wenye shauku ya kujionea tukio lakini safari inapopamba moto mnaanza kupungua mwisho mtafika wachache.watu ukiwaambia kuwa hizi ndege zinajaa hawakubali sijui wanatakaje?
hivi katika tanzania yenye watu zaidi ya millioni 50 hakuna watu wenye uhitaji wa kupanda ndege 3000 kwa siku? hii ni hesabu rahisi tu wakati ndege zote zikijaza za shirika hilo hawafiki watu 1000?
tumekazana kuwa watapata wapi wateja kweli? yaani unazaa mtoto lakini sala zako unaomba mtoto afe haraka do! sijatembea na kuvuka mpaka lakini tujifikirie upya kwa maslahi ya taifa vinginevyo tusema kuwa tunayopinga tuna furahisha ubongo kupunza stress zetu.
Siku zote uzinduzi hujaza watu hasa wenye shauku ya kujionea tukio lakini safari inapopamba moto mnaanza kupungua mwisho mtafika wachache.watu ukiwaambia kuwa hizi ndege zinajaa hawakubali sijui wanatakaje?
hivi katika tanzania yenye watu zaidi ya millioni 50 hakuna watu wenye uhitaji wa kupanda ndege 3000 kwa siku? hii ni hesabu rahisi tu wakati ndege zote zikijaza za shirika hilo hawafiki watu 1000?
tumekazana kuwa watapata wapi wateja kweli? yaani unazaa mtoto lakini sala zako unaomba mtoto afe haraka do! sijatembea na kuvuka mpaka lakini tujifikirie upya kwa maslahi ya taifa vinginevyo tusema kuwa tunayopinga tuna furahisha ubongo kupunza stress zetu.
Mtume kafanyaje?Mtumeee!