Dressing code IFM balaaa.

Dressing code IFM balaaa.

Kuna haja ya Uongozi wa chuo kukemea vikali uvaaji mbovu wa mavazi,haswa hii jinsia ya kike mavazi wanayovaa ni balaa nusu uchi bila aibu wanaingia leacture theatres na wanafanya presentation kama kawa..hali hii si njema kabisa kwa maadili ya Taifa hili.
Naomba Mungu nimalize salama Programme yangu because vishawishi ni vingi kwa kweli!
Maadili ya taifa hili ni yapi?
 
Kuna haja ya Uongozi wa chuo kukemea vikali uvaaji mbovu wa mavazi,haswa hii jinsia ya kike mavazi wanayovaa ni balaa nusu uchi bila aibu wanaingia leacture theatres na wanafanya presentation kama kawa..hali hii si njema kabisa kwa maadili ya Taifa hili.
Naomba Mungu nimalize salama Programme yangu because vishawishi ni vingi kwa kweli!

Fanya hukuwaona tu.....usitaarabu ndiyo unataka uhuru wote (expression) kama hupendi nenda chuo kikuu cha wasabato Arusha wanavaa kwa heshima na utapenda
 
I am talking about Uavaaji nusu uchi aint a good moral to society,au wewe kwenu ni poa kabisa
Hilo ndio tatizo letu watanzania..kuanzia viongozi mpaka raia.
Wepesi wa kuongea.."tabia hii ni kinyume na maadili na utamaduni wa mtanzania."
Muulize huo utamaduni na maadili ya mtanzania ni upi..they will never come up with a clear answer.
Simply because we dont know who we are..tupo tupo tu.
 
Fanya hukuwaona tu.....usitaarabu ndiyo unataka uhuru wote (expression) kama hupendi nenda chuo kikuu cha wasabato Arusha wanavaa kwa heshima na utapenda

I was only adressing this,it doesn't mean i'm not cappable of survaving here..in the name of Almighty i will.
 
Hilo ndio tatizo letu watanzania..kuanzia viongozi mpaka raia.
Wepesi wa kuongea.."tabia hii ni kinyume na maadili na utamaduni wa mtanzania."
Muulize huo utamaduni na maadili ya mtanzania ni upi..they will never come up with a clear answer.
Simply because we dont know who we are..tupo tupo tu.

I have told you uvaaji nusu uchi that is clear answer may be if ua here for challenging me..but my self i was straight
 
I have told you uvaaji nusu uchi that is clear answer may be if ua here for challenging me..but my self i was straight
Hayo ni maoni yako binafsi sio kinyume na maadili ya watanzania..mm napenda mwanamke akivaa nusu uchi, sababu hata dada zangu wanvaa hivo na ni watanzania. This is a free country kila mtu ana uhuru wa kuvaa anavotaka. We dont have a dressing code in Tanzania.
 
Hayo ni maoni yako binafsi sio kinyume na maadili ya watanzania..mm napenda mwanamke akivaa nusu uchi, sababu hata dada zangu wanvaa hivo na ni watanzania. This is a free country kila mtu ana uhuru wa kuvaa anavotaka. We dont have a dressing code in Tanzania.

That's fine umesomeka mkuu.
 
Hayo ni maoni yako binafsi sio kinyume na maadili ya watanzania..mm napenda mwanamke akivaa nusu uchi, sababu hata dada zangu wanvaa hivo na ni watanzania. This is a free country kila mtu ana uhuru wa kuvaa anavotaka. We dont have a dressing code in Tanzania.

Jamani nyie wanafunzi; ni dress code na sio dressing code. Huwa mnatoa wapi haya maneno?
 
Kaka hapo mawazo yako ndo yatakuwa na matatizo...hiki ni taifa huru...mbona wamasai na wamangati wanaishi poa tu na uchiuchi?...kwa mtazamo wa kisayansi angalia viumbe wengine huwa wanajinsi ya kutengeneza mazingira ili jinsia tofauti ivutike...kwa milio au matendo fulani...Mungu hakukosea kuweka hivyo...tafsiri ya binadamu ndo tatizo...ondokana na mawazo mgando na funguka ndugu yangu
 
kuna haja ya uongozi wa chuo kukemea vikali uvaaji mbovu wa mavazi,haswa hii jinsia ya kike mavazi wanayovaa ni balaa nusu uchi bila aibu wanaingia leacture theatres na wanafanya presentation kama kawa..hali hii si njema kabisa kwa maadili ya taifa hili.
Naomba mungu nimalize salama programme yangu because vishawishi ni vingi kwa kweli!

una hoja ya msingi sana. Umalaya vyuoni umekithiri asif watoto hawakutoka kwenye wazazi wa kiafrika, eti ni utandawazi
 
ndio maana maana tumaini university makumira campus wamepiga marufuku uvaaji wa hilo vazi
 
I was only adressing this,it doesn't mean i'm not cappable of survaving here..in the name of Almighty i will.

Hivi unatambua kwamba hiyo lugha ya kiingereza,unayopenda kuitumia hauimudu na inakushusha sana.Hacha mbwembwe bwana mdogo,kiswahili pia ufikisha ujumbe vizuri.
 
I have told you uvaaji nusu uchi that is clear answer may be if ua here for challenging me..but my self i was straight

Jifunze tena vizuri hiyo lugha,jipe muda usiwe na haraka ya kutaka kuonekana unaimudu kumbe sivyo.
 
Back
Top Bottom