Maadili ya taifa hili ni yapi?Kuna haja ya Uongozi wa chuo kukemea vikali uvaaji mbovu wa mavazi,haswa hii jinsia ya kike mavazi wanayovaa ni balaa nusu uchi bila aibu wanaingia leacture theatres na wanafanya presentation kama kawa..hali hii si njema kabisa kwa maadili ya Taifa hili.
Naomba Mungu nimalize salama Programme yangu because vishawishi ni vingi kwa kweli!
Ndio tuambie hayo maadili ya jamii nyingi za watanzaniaI was wrong what i wanted to say is Maadili ya jamii nyingi za Watanzania.
Kuna haja ya Uongozi wa chuo kukemea vikali uvaaji mbovu wa mavazi,haswa hii jinsia ya kike mavazi wanayovaa ni balaa nusu uchi bila aibu wanaingia leacture theatres na wanafanya presentation kama kawa..hali hii si njema kabisa kwa maadili ya Taifa hili.
Naomba Mungu nimalize salama Programme yangu because vishawishi ni vingi kwa kweli!
Hilo ndio tatizo letu watanzania..kuanzia viongozi mpaka raia.I am talking about Uavaaji nusu uchi aint a good moral to society,au wewe kwenu ni poa kabisa
Fanya hukuwaona tu.....usitaarabu ndiyo unataka uhuru wote (expression) kama hupendi nenda chuo kikuu cha wasabato Arusha wanavaa kwa heshima na utapenda
Hilo ndio tatizo letu watanzania..kuanzia viongozi mpaka raia.
Wepesi wa kuongea.."tabia hii ni kinyume na maadili na utamaduni wa mtanzania."
Muulize huo utamaduni na maadili ya mtanzania ni upi..they will never come up with a clear answer.
Simply because we dont know who we are..tupo tupo tu.
Hayo ni maoni yako binafsi sio kinyume na maadili ya watanzania..mm napenda mwanamke akivaa nusu uchi, sababu hata dada zangu wanvaa hivo na ni watanzania. This is a free country kila mtu ana uhuru wa kuvaa anavotaka. We dont have a dressing code in Tanzania.I have told you uvaaji nusu uchi that is clear answer may be if ua here for challenging me..but my self i was straight
Hayo ni maoni yako binafsi sio kinyume na maadili ya watanzania..mm napenda mwanamke akivaa nusu uchi, sababu hata dada zangu wanvaa hivo na ni watanzania. This is a free country kila mtu ana uhuru wa kuvaa anavotaka. We dont have a dressing code in Tanzania.
That number three was supposed to be a FACT and not The AIM..but nimeipenda hii.
Hayo ni maoni yako binafsi sio kinyume na maadili ya watanzania..mm napenda mwanamke akivaa nusu uchi, sababu hata dada zangu wanvaa hivo na ni watanzania. This is a free country kila mtu ana uhuru wa kuvaa anavotaka. We dont have a dressing code in Tanzania.
kuna haja ya uongozi wa chuo kukemea vikali uvaaji mbovu wa mavazi,haswa hii jinsia ya kike mavazi wanayovaa ni balaa nusu uchi bila aibu wanaingia leacture theatres na wanafanya presentation kama kawa..hali hii si njema kabisa kwa maadili ya taifa hili.
Naomba mungu nimalize salama programme yangu because vishawishi ni vingi kwa kweli!
I was only adressing this,it doesn't mean i'm not cappable of survaving here..in the name of Almighty i will.
I have told you uvaaji nusu uchi that is clear answer may be if ua here for challenging me..but my self i was straight