Drone ya Marekani yaaangushwa na ndege vita ya Urusi huko Bahari Nyeusi

Drone ya Marekani yaaangushwa na ndege vita ya Urusi huko Bahari Nyeusi

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463
Jeshi la Marekani limethibitisha ndege yao isiyo na ruban (Drone) imeangushwa kwa kugongwa na ndege vita ya Urusi katika Bahari Nyeusi ambako Jeshi la Marekan wanasema drone yao ilikuwa katika eneo la kimataifa!.

Ata hivo mjadala umeibuka kuwa drone ilienda kutafuta nini Bahari Nyeusi ambako bahari hiyo imeunganishwa na za Ukraine, Urusi, Uturuki

Black_Sea_map.png
Screenshot_2023-03-14-21-01-51-07_680d03679600f7af0b4c700c6b270fe7.jpg
 
Back
Top Bottom