Drone ya Marekani yaaangushwa na ndege vita ya Urusi huko Bahari Nyeusi

Drone ya Marekani yaaangushwa na ndege vita ya Urusi huko Bahari Nyeusi

Angalau kuna mmoja anakiri uwezo wa Ukraine kwenye kumkabili Urusi na kumdhibiti asitimize lengo lake.
Sasa labda niulize kaswali kadogo tuu, hivi ulitaka Ukraine apigane na Russia bila ya silaha? Upo serious kweli?
Sasa silaha ni jukumu la nani kuwa nazo? 🤣 Yani Ukraine wapigane kwa kodi za NATO halafu muwasifie
Kama huna silaha si una retreat!
 
Sasa silaha ni jukumu la nani kuwa nazo? 🤣 Yani Ukraine wapigane kwa kodi za NATO halafu muwasifie
Kama huna silaha si una retreat!
Hapewi bure zile mkuu, atazilipia baadaye, sasa hivi ni kama mkopo so ni za kwake. So akizipata ndiyo anaenda kuzitumia kutwangana na Russia😀
 
Hapewi bure zile mkuu, atazilipia baadaye, sasa hivi ni kama mkopo so ni za kwake. So akizipata ndiyo anaenda kuzitumia kutwangana na Russia😀
Bado sio kipimo cha uhalisia. Wao ugomvi wanauweza wasiombe silaha. Wakomae kupigana
 
Kwa taarifa Yako TU ni kwamba Huyo unaemwita mnyama hua anapigwa matukio ya kibabe na dubu na hua anaishia kupiga kimya TU.
Ukitaka tufumguke tunaweza kufunguka kwa faida Yako.
Kiwanja cha ndege cha kijeshi miez 2 iliyopita Moscow kiliripuliwa usijifanye una pamba masikioni, urusi si salama hawana uthibiti wowote wako visible sana ngoja waingie katikati zaidi ushuhudie vumbi huko kremlin
 
[emoji630][emoji635]The details of Xi Jinping's upcoming visit to Moscow:

[emoji829]️Issues of military-technical cooperation will be discussed, energy will be discussed in detail.

[emoji829]️Documents are expected to be signed on deepening relations and developing key areas of cooperation until 2030.

[emoji829]️The conflict in Ukraine will be discussed, Russia appreciates the restrained and verified position of China.

[emoji829]️Sergei Shoigu and the head of the Federal Service for Military-Technical Cooperation Shugaev will take part in the conversation
 
Back
Top Bottom