Drone ya Marekani yaaangushwa na ndege vita ya Urusi huko Bahari Nyeusi

Drone ya Marekani yaaangushwa na ndege vita ya Urusi huko Bahari Nyeusi

Ujinga ni mzigo mzito sana
Ni kweli, mambo ya kivita siyajui. Hata huu uzi wa Russia na Ukraine nimejichanganya tu nikajikuta nimecomment, ila wala si mpenzi au mshabiki wa Russia au Marekani kama mlivyo.

Kwa upande mwingine hata mimi huwa nawashangaa mnachobishaniaga, ingawa huwa naepuka kuwaita wajinga kwa kuhofia kwamba huenda kweli kuna mambo mnagain kutokana na ligi hii
 
Ni kama baloon ya china ilivyo shambuliwa na ndege ya kisasa ya marekani. Yaani unaambiwa kombora lake moja tu 1mil USD sasa zidisha kwa 2300 alafu zidisha kwa makombora 2 upate kwa pesa ya madafu.
Tupeane maarifa, lilikuwa na ukubwa gani hilo baloon. Nisije nikasema ka baloon kadogo wenye ligi yao wakanishukia kama mwewe wa jangwani
 
Kwakweli hii ni aibu kwa marekani wanaojiona Superpower kumbe ni Superpower ya mchongo tu na propaganda[emoji23][emoji23]

Ndege ya kivita ya Urusi Su-27 ilipaa angani na kuimwagia mafuta drone ya kivita ya Marekani MQ-9 Reaper na drone hiyo iliangukia kwenye maji.

Marekani inapinga drone hiyo kuchukuliwa na Urusi wakati huo haijulikani drone hiyo iko wapi.

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yaani ni mafuta tu ilimwagiwa na ikapoteza muelekeo bila hata kudunguliwa.

Ndo maana waliogopa kupelekwa silaha wanazojitapaga kuwa ni nzuri kule Ukraine wakijua ni za mchongo tu na watazidi kuaibika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Waliombwa F-16 wakaingia mitini[emoji23][emoji23]
Wakaombwa vifaru bora wakaingia mitini[emoji23][emoji23]
Wakaombwa makombora wakaingia mitini[emoji23][emoji23]
Wakaombwa F-35 wakawa wakali kama embe ngwangwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Badala yake wapo tayari waziombe nchi nyingine zipeleke silaha kwa mbadala wa kupeleka zao na hyo nchi itapewa pesa kuliko wapeleke zao kuhofia wataaibika

Hadi zelensky analia lia tu na kusema kwanini hapelekewi anachoomba..Eti drone imepulizwa na mafuta ya ndege tu yakaidondokea tayari ishapoteza muelekeo bila kudunguliwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huku wamarekani weusi wa jf wakizisifia hizo drone kuwa ni bora zaidi duniani[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwakweli hii ni aibu kwa marekani wanaojiona Superpower kumbe ni Superpower ya mchongo tu na propaganda...
Hiyo drone iliyo fanyiwa hivyo ina tekinolojia ya juu ya siri ya marekani ....hivyo marekani wana haa kuitafuta ili mrusi asiweze kugundua baadhi ya siri pale atakapo ipeleka laboratory kuifanyia uchunguzi
 
Back
Top Bottom