Hennes kolon
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 673
- 1,294
Na jamaa wamesha ichukua tayari,hapo kinachofuata NI kudukuliwa taarifa ,itaonyesha wapi ilipokuwa inapeleka taarifa .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilimwagiwa mafuta ili iwe rahisi kujua ilipodondokea hapo black sea kama unavyojua mafuta yanaelea juu ya majiKilichofanyika wanajeshi wa Urusi waliimwagia mafuta kama mzaha alafu wakagusanisha ubaya wa su-27 kwenye injini ya ndege ya Marekani...
Inabidi tujipongeze na vodka bariiidii😂Habari nzuri sisi WARUSI WA TZ
Dah umeona mbali kweli mkuu hivi wanakuaga wapi hawa akinaToka nimeanza kuona hii nyuzi ya drone ya marekani kushushwa na kupelekwa Iran kwa reverse engineering sijaona pro NATO wakikomenti mahali popote[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wavimbe na wapasuke,tena waache chokochoko🤔Wamarekani wa mbezi kibanda cha mkaa wamenuna kuliko hata wamarekani wa nyuuyoku!!
Kuna sintofahamu hapa Marekani baada ya Russia kuilazimisha/Kuigonga drone ya Marekani na kuishusha,,,,hii imetokea over Black sea. Baraza la Usalama la Russia limejitetea kwa kilichotokea.
Kama unapenda kufuatilia habari, katafute vyanzo vya habari usome.
Siku njema.
View attachment 2551891
View attachment 2551892
View attachment 2551893
View attachment 2551894
Vipi nyie warusi wa vingunguti kwa mnyamani?Wamarekani wa mbezi kibanda cha mkaa wamenuna kuliko hata wamarekani wa nyuuyoku!!
Ushoga umepigwa marufuku Russia weweAzana imepigwa marufuku Saudi Arabia wewe
Unaujua uwanja wa taifa?Sasa ukiwa pale katikati ya uwanja mpira unapoanzia,tembea kuelekea golini mpaka ulivuke goli ukaribie Ile sehemu ya wanariadha,Huo umbali uliotembea ndio kimo Cha Hilo balloon!Tupeane maarifa, lilikuwa na ukubwa gani hilo baloon. Nisije nikasema ka baloon kadogo wenye ligi yao wakanishukia kama mwewe wa jangwani
Uko serious ama unafurahisha genge tu?Au unahisi ni drone kama za kupigia picha unazoziona bongo?ka drone kalivyo kadogo kanashambuliwa kwa ndege ya vita
Hakika wewe ni mtoto wa shuleUna habari ni mwaka wa pili sasa Urusi haijaipiga Ukraine? Superpower Russia inahenyeshwa na Comedian Zelensky?
Ndio maana Nina kumbukumbu very sharp.Hakika wewe ni mtoto wa shule
Hiyo vingunguti kwa mnyamani iko wapi??Vipi nyie warusi wa vingunguti kwa mnyamani?
Ni Buguruni kwa mnyamani. Umesikia mtoto mzurieeeVipi nyie warusi wa vingunguti kwa mnyamani?
Hii bahari haitoki maana sioni mkondo hapoJeshi la Marekani limethibitisha ndege yao isiyo na ruban (Drone) imeangushwa kwa kugongwa na ndege vita ya Urusi katika Bahari Nyeusi ambako Jeshi la Marekan wanasema drone yao ilikuwa katika eneo la kimataifa!.
Ata hivo mjadala umeibuka kuwa drone ilienda kutafuta nini Bahari Nyeusi ambako bahari hiyo imeunganishwa na za Ukraine, Urusi, Uturuki
View attachment 2551440View attachment 2551445
Umesahau puto lilishambuliwa na ninika drone kalivyo kadogo kanashambuliwa kwa ndege ya vita
Mnyama atajibu mapigo tu aidha direct on indirectHabari nzuri sisi WARUSI WA TZ
Endelea kufikiria kwa kutumia makalio [emoji16]ka drone kalivyo kadogo kanashambuliwa kwa ndege ya vita