Drone ya Marekani yaaangushwa na ndege vita ya Urusi huko Bahari Nyeusi

Drone ya Marekani yaaangushwa na ndege vita ya Urusi huko Bahari Nyeusi

WARUSI WA BUZI BANA SASA KAMA MAREKANI ANA UWEZO WA KUPELEKA DRONES HADI KULE MBONA HAO WABAGUZI WARUSI HAWAPELEKI HATA PARACHUTE PALE JIRANI NA HAWAII?? HAWAII MBALI WAPELEKE PALE ALASKA JIMBO LAO WALILOMUUZIA MMAREKANI🤣🤣🤣

HALAFU COLLISION YA VIFAA VYA ANGA NI JAMBO LA KAWAIDA, WALIWAHI KUGONGANA NDEGE YA MAREKANI NA UCHINA TENA ZA KIVITA.KUNA UTOFAUTI KATI YA KUSHAMBULIA DRONE NA KUIGONGA, KWANINI HAWAKUIANGUSHA KWA BOMU? 🤣

MOTO UKO PALE PALE URUSI HII VITA NI ANGAKO LAKE MAZIMA,MTAKE MSITAKE
Umeandika madudu gani?Vp kama walitaka waipate ikiwa intact Kwa ajili ya kuitafiti?
Kama ni bahati mbaya,Hadi kujimwagia mafuta Ilikuwa bahati mbaya?
Halafu umeambiwa Ile ni international airspace,ila Russia amefanya jeuri!
Lakini pia,hiyo drone inaweza ikawa imetokea nchi yeyote ya NATO ambako Kuna Kambi za US!
So hakuna maajabu hapo!
Tumia Kichwa chako vizuri!
 
Kwakweli hii ni aibu kwa marekani wanaojiona Superpower kumbe ni Superpower ya mchongo tu na propaganda[emoji23][emoji23]

Ndege ya kivita ya Urusi Su-27 ilipaa angani na kuimwagia mafuta drone ya kivita ya Marekani MQ-9 Reaper na drone hiyo iliangukia kwenye maji.

Marekani inapinga drone hiyo kuchukuliwa na Urusi wakati huo haijulikani drone hiyo iko wapi.

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yaani ni mafuta tu ilimwagiwa na ikapoteza muelekeo bila hata kudunguliwa.

Ndo maana waliogopa kupelekwa silaha wanazojitapaga kuwa ni nzuri kule Ukraine wakijua ni za mchongo tu na watazidi kuaibika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Waliombwa F-16 wakaingia mitini[emoji23][emoji23]
Wakaombwa vifaru bora wakaingia mitini[emoji23][emoji23]
Wakaombwa makombora wakaingia mitini[emoji23][emoji23]
Wakaombwa F-35 wakawa wakali kama embe ngwangwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Badala yake wapo tayari waziombe nchi nyingine zipeleke silaha kwa mbadala wa kupeleka zao na hyo nchi itapewa pesa kuliko wapeleke zao kuhofia wataaibika

Hadi zelensky analia lia tu na kusema kwanini hapelekewi anachoomba..Eti drone imepulizwa na mafuta ya ndege tu yakaidondokea tayari ishapoteza muelekeo bila kudunguliwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huku wamarekani weusi wa jf wakizisifia hizo drone kuwa ni bora zaidi duniani[emoji23][emoji23][emoji23]
Dunia ina vichaa wengi sana, Russia wanaigopa USA kwa silaha zao huku kijana mmoja kutoka Tanzania ambae hajawahi kufanya kazi kwenye Jeshi la USA akituthibitia ubora wa vifaa vya kijeshi walizonazo USA na RUSSIA.

Serikali isiochukua hatua ya kuwapima akili wananchi wake tatizo litazidi kuwa kubwa sana.
Japo inawezekana na mimi ni kichaa pia make sijapimwa pia akili.
 
WARUSI WA BUZI BANA SASA KAMA MAREKANI ANA UWEZO WA KUPELEKA DRONES HADI KULE MBONA HAO WABAGUZI WARUSI HAWAPELEKI HATA PARACHUTE PALE JIRANI NA HAWAII?? HAWAII MBALI WAPELEKE PALE ALASKA JIMBO LAO WALILOMUUZIA MMAREKANI[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

HALAFU COLLISION YA VIFAA VYA ANGA NI JAMBO LA KAWAIDA, WALIWAHI KUGONGANA NDEGE YA MAREKANI NA UCHINA TENA ZA KIVITA.KUNA UTOFAUTI KATI YA KUSHAMBULIA DRONE NA KUIGONGA, KWANINI HAWAKUIANGUSHA KWA BOMU? [emoji1787]

MOTO UKO PALE PALE URUSI HII VITA NI ANGAKO LAKE MAZIMA,MTAKE MSITAKE
Watume drones za nini? Marekani yupo uchi mbele ya mmrusi. Kuku wake manati ya nini!?

Mashoga tuu ndio wataamini ile ni ajali tuu. Ajali ya kukojolewa mafuta..!
Hiyo ni mmarekani tuu anaweza fanyiwa.

Mrusi hakuhangaika kutumia kombora ili amdhalilishe na kuonesha udhaifu wa super power
 
WARUSI WA BUZI BANA SASA KAMA MAREKANI ANA UWEZO WA KUPELEKA DRONES HADI KULE MBONA HAO WABAGUZI WARUSI HAWAPELEKI HATA PARACHUTE PALE JIRANI NA HAWAII?? HAWAII MBALI WAPELEKE PALE ALASKA JIMBO LAO WALILOMUUZIA MMAREKANI[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

HALAFU COLLISION YA VIFAA VYA ANGA NI JAMBO LA KAWAIDA, WALIWAHI KUGONGANA NDEGE YA MAREKANI NA UCHINA TENA ZA KIVITA.KUNA UTOFAUTI KATI YA KUSHAMBULIA DRONE NA KUIGONGA, KWANINI HAWAKUIANGUSHA KWA BOMU? [emoji1787]

MOTO UKO PALE PALE URUSI HII VITA NI ANGAKO LAKE MAZIMA,MTAKE MSITAKE

Ndege za Urussi zinazokatishaga Alaska huwa zinafanya nini? Au Alaska sio US??
 
Je umezipata habari za bakhmut? tuliambiwa russia inachukua miji washa TV sasa msikilizie kiongozi wa Wagner analalamika nini, zaidi ya askari 1000 missionaries wameenda na maji, hizo kadrone kugongwa mnyama atajibu tu

Prigo ni muhuni sana anawapa morale ili mje, uyo jamaa mkimsikliza mtaenda na maji wote anawaenyoy tu.
 
Dunia ina vichaa wengi sana, Russia wanaigopa USA kwa silaha zao huku kijana mmoja kutoka Tanzania ambae hajawahi kufanya kazi kwenye Jeshi la USA akituthibitia ubora wa vifaa vya kijeshi walizonazo USA na RUSSIA.

Serikali isiochukua hatua ya kuwapima akili wananchi wake tatizo litazidi kuwa kubwa sana.
Japo inawezekana na mimi ni kichaa pia make sijapimwa pia akili.

Tutajie hizo silaha ambazo Russia anaziogopa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Unaujua uwanja wa taifa?Sasa ukiwa pale katikati ya uwanja mpira unapoanzia,tembea kuelekea golini mpaka ulivuke goli ukaribie Ile sehemu ya wanariadha,Huo umbali uliotembea ndio kimo Cha Hilo balloon!
Aisee!
 
Back
Top Bottom