5523
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 2,275
- 2,410
Acha kelele mnyama atajibu tuAtakuja Mmarekani wa Tandale kusema ni Propaganda tu hizo za The New York Times.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kelele mnyama atajibu tuAtakuja Mmarekani wa Tandale kusema ni Propaganda tu hizo za The New York Times.
Je umezipata habari za bakhmut? tuliambiwa russia inachukua miji washa TV sasa msikilizie kiongozi wa Wagner analalamika nini, zaidi ya askari 1000 missionaries wameenda na maji, hizo kadrone kugongwa mnyama atajibu tuSafi Sana
Umeandika madudu gani?Vp kama walitaka waipate ikiwa intact Kwa ajili ya kuitafiti?WARUSI WA BUZI BANA SASA KAMA MAREKANI ANA UWEZO WA KUPELEKA DRONES HADI KULE MBONA HAO WABAGUZI WARUSI HAWAPELEKI HATA PARACHUTE PALE JIRANI NA HAWAII?? HAWAII MBALI WAPELEKE PALE ALASKA JIMBO LAO WALILOMUUZIA MMAREKANI🤣🤣🤣
HALAFU COLLISION YA VIFAA VYA ANGA NI JAMBO LA KAWAIDA, WALIWAHI KUGONGANA NDEGE YA MAREKANI NA UCHINA TENA ZA KIVITA.KUNA UTOFAUTI KATI YA KUSHAMBULIA DRONE NA KUIGONGA, KWANINI HAWAKUIANGUSHA KWA BOMU? 🤣
MOTO UKO PALE PALE URUSI HII VITA NI ANGAKO LAKE MAZIMA,MTAKE MSITAKE
Dunia ina vichaa wengi sana, Russia wanaigopa USA kwa silaha zao huku kijana mmoja kutoka Tanzania ambae hajawahi kufanya kazi kwenye Jeshi la USA akituthibitia ubora wa vifaa vya kijeshi walizonazo USA na RUSSIA.Kwakweli hii ni aibu kwa marekani wanaojiona Superpower kumbe ni Superpower ya mchongo tu na propaganda[emoji23][emoji23]
Ndege ya kivita ya Urusi Su-27 ilipaa angani na kuimwagia mafuta drone ya kivita ya Marekani MQ-9 Reaper na drone hiyo iliangukia kwenye maji.
Marekani inapinga drone hiyo kuchukuliwa na Urusi wakati huo haijulikani drone hiyo iko wapi.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yaani ni mafuta tu ilimwagiwa na ikapoteza muelekeo bila hata kudunguliwa.
Ndo maana waliogopa kupelekwa silaha wanazojitapaga kuwa ni nzuri kule Ukraine wakijua ni za mchongo tu na watazidi kuaibika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Waliombwa F-16 wakaingia mitini[emoji23][emoji23]
Wakaombwa vifaru bora wakaingia mitini[emoji23][emoji23]
Wakaombwa makombora wakaingia mitini[emoji23][emoji23]
Wakaombwa F-35 wakawa wakali kama embe ngwangwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Badala yake wapo tayari waziombe nchi nyingine zipeleke silaha kwa mbadala wa kupeleka zao na hyo nchi itapewa pesa kuliko wapeleke zao kuhofia wataaibika
Hadi zelensky analia lia tu na kusema kwanini hapelekewi anachoomba..Eti drone imepulizwa na mafuta ya ndege tu yakaidondokea tayari ishapoteza muelekeo bila kudunguliwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huku wamarekani weusi wa jf wakizisifia hizo drone kuwa ni bora zaidi duniani[emoji23][emoji23][emoji23]
Unazjua drone aina zake au unalopoka tuuu...
Watume drones za nini? Marekani yupo uchi mbele ya mmrusi. Kuku wake manati ya nini!?WARUSI WA BUZI BANA SASA KAMA MAREKANI ANA UWEZO WA KUPELEKA DRONES HADI KULE MBONA HAO WABAGUZI WARUSI HAWAPELEKI HATA PARACHUTE PALE JIRANI NA HAWAII?? HAWAII MBALI WAPELEKE PALE ALASKA JIMBO LAO WALILOMUUZIA MMAREKANI[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
HALAFU COLLISION YA VIFAA VYA ANGA NI JAMBO LA KAWAIDA, WALIWAHI KUGONGANA NDEGE YA MAREKANI NA UCHINA TENA ZA KIVITA.KUNA UTOFAUTI KATI YA KUSHAMBULIA DRONE NA KUIGONGA, KWANINI HAWAKUIANGUSHA KWA BOMU? [emoji1787]
MOTO UKO PALE PALE URUSI HII VITA NI ANGAKO LAKE MAZIMA,MTAKE MSITAKE
Mrusi anataka athibitishe unaa wa mmarekani pasipo na shaka,ili atafute namna bora zaidi ya kushughulika naye🤔Na jamaa wamesha ichukua tayari,hapo kinachofuata NI kudukuliwa taarifa ,itaonyesha wapi ilipokuwa inapeleka taarifa .
Hiyo drone siyo ndogo ...pia drone siyo lazima iwe ndogo ...jifunze drone ni nini ?ka drone kalivyo kadogo kanashambuliwa kwa ndege ya vita
WARUSI WA BUZI BANA SASA KAMA MAREKANI ANA UWEZO WA KUPELEKA DRONES HADI KULE MBONA HAO WABAGUZI WARUSI HAWAPELEKI HATA PARACHUTE PALE JIRANI NA HAWAII?? HAWAII MBALI WAPELEKE PALE ALASKA JIMBO LAO WALILOMUUZIA MMAREKANI[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
HALAFU COLLISION YA VIFAA VYA ANGA NI JAMBO LA KAWAIDA, WALIWAHI KUGONGANA NDEGE YA MAREKANI NA UCHINA TENA ZA KIVITA.KUNA UTOFAUTI KATI YA KUSHAMBULIA DRONE NA KUIGONGA, KWANINI HAWAKUIANGUSHA KWA BOMU? [emoji1787]
MOTO UKO PALE PALE URUSI HII VITA NI ANGAKO LAKE MAZIMA,MTAKE MSITAKE
Alianza kumhujumu kwenye mrija wake wa baharini,inawezekana haya ni malipo yameanza 🤔Mnyama atajibu mapigo tu aidha direct on indirect
Je umezipata habari za bakhmut? tuliambiwa russia inachukua miji washa TV sasa msikilizie kiongozi wa Wagner analalamika nini, zaidi ya askari 1000 missionaries wameenda na maji, hizo kadrone kugongwa mnyama atajibu tu
Dunia ina vichaa wengi sana, Russia wanaigopa USA kwa silaha zao huku kijana mmoja kutoka Tanzania ambae hajawahi kufanya kazi kwenye Jeshi la USA akituthibitia ubora wa vifaa vya kijeshi walizonazo USA na RUSSIA.
Serikali isiochukua hatua ya kuwapima akili wananchi wake tatizo litazidi kuwa kubwa sana.
Japo inawezekana na mimi ni kichaa pia make sijapimwa pia akili.
Wazee wa ligi. Vipi, leo nani ameshambuliwa na makombora?Endelea kufikiria kwa kutumia makalio [emoji16]
Aisee!Unaujua uwanja wa taifa?Sasa ukiwa pale katikati ya uwanja mpira unapoanzia,tembea kuelekea golini mpaka ulivuke goli ukaribie Ile sehemu ya wanariadha,Huo umbali uliotembea ndio kimo Cha Hilo balloon!
Nipo airwing hapa Ukonga, nazijuaUko serious ama unafurahisha genge tu?Au unahisi ni drone kama za kupigia picha unazoziona bongo?
Wa-marekani wa buza.Wazee wa ligi. Vipi, leo nani ameshambuliwa na makombora?
Hapana nina kubashiaUnauliza au unaeleza?