Ni kitu cha kawaida hicho kinakuzwa kwa vile hamna jambo kubwa la ziada. Mid air collision ni ajari unayoweza kwepa kuwajibika ukitoa visingizio, hiyo drone haijadunguliwa. Na drones hazina manouvres kama manned fighter jets kwahiyo Su-27 ziliweza kuzunguka na marubani wakaamua cha kufanya kuliko operator wa hiyo Reaper angeweza fanya uko aliko Marekani au kwingineko labda Ujerumani ambapo kuna command kubwa ya drones za Marekani.
Drone sio silaha ya kufanya nchi ziingie vitani na ndio maana mataifa yalizitengeneza. Hakuna rubani kafa hapo ingekuwa ni U-2 ya Mmarekani ndio ilikuwa inafanya reconn kwenye international waters kisha ikaangushwa tungeongea lugha nyingine. Hata Urusi ilinywea Uturuki ilipodondosha ndege yake na kuua rubani kwa sababu ilikiuka na kuingia kwenye anga la Uturuki kimazoea.
Russia haijasema direct imedondosha ile ndege. Its unprofessional marubani kuendesha ndege karibu karibu na sio mara ya kwanza marubani wa Urusi kufanya hivi. Ila mid air collisions sio jambo geni kwenye ndege.
Lakini kama wanataka ligi, Marekani inazo ndege nyingi tu wala sio kupambanisha surveillance drone dhidi ya fighter jet.
When a US Spy Plane Was Shot Down Over the USSR
In 1960, one of the most notorious chapters in the Cold War began after American U-2 pilot Francis Gary Powers was shot down and captured during a spying mission over the Soviet Union.
1 May 1960, a United States
U-2 spy plane was shot down by the
Soviet Air Defence Forces while conducting photographic
aerial reconnaissance deep inside
Soviet territory. The single-seat aircraft, flown by American pilot
Francis Gary Powers, had taken off from
Peshawar, Pakistan, and crashed near
Sverdlovsk (present-day Yekaterinburg), after being hit by an
S-75 Dvina (SA-2 Guideline)
surface-to-air missile. Powers parachuted to the ground safely and was captured.
In Cuban missile crisis
On October 27, 1962, U-2 pilot Rudolf Anderson Jr. was shot down during the Cuban Missile Crisis.
Shortly after Anderson entered Cuban air space, his unarmed, high-altitude
U-2 spy plane appeared as a blip on Soviet radar. As the Soviet military tracked the intruding aircraft,