Drones za Korea ya Kaskazini yalichezea anga la Korea ya kusini mbele ya Air defense system za Marekani kwa masaa 7 na kurudi salama kituoni

Drones za Korea ya Kaskazini yalichezea anga la Korea ya kusini mbele ya Air defense system za Marekani kwa masaa 7 na kurudi salama kituoni

Kama drone ilipiga 600km deep in russia, tena kwenye airbase sasa hapo nini cha ajabu.

Alafu kuwa na akili kidogo huwezi tumia THAAD/PARTIOT kwenye cheap target kama hizo.

Kwa hiyo ukiona 100 rounds akili yako inakwambia makombora 100 ? (Pole sana)
NI rounds of ammunitions!! Ammunitions zinazorushwa na ndege za kivita ni MAKOMBORA!! Rounds of ammunitions zinazorushwa na bunduki ni risasi!! Rounds of ammunitions zinazorushwa ni mizinga ni mabomu!!
Kwa hiyo kujua ni rounds of ammunitions zipi zimerushwa ni kujua kwanza kifaa kilichotumika kuzirusha!!
Korea ya kusini ili-scramble ndege za kivita kuzifuatilia hizo drones!! Hiyo ni tuition ya bure!! Haya tuambie wewe hizo 100 rounds zilizorushwa na ndege za kivita ni nini? Ni mawe au?
 
Imesafiri
Aisee jamaa kumbe dunia imekuacha eenh.

Je unajua 5 December, Engels ilipigwa. Hii ni se cond time bro.

Pia inakuaje drone ina safiri 600km deep into your country?
na imetunguliwa ha ha ha imekuwaja drone za Korea zikapenya MPAKA jiji LA Seoul zinalo lindwa na USA made air defense mbaya zaid pale mpakani kuna patriot PAC 3 hizi hudeal na low flying kama cruiser misseli na drone. Lakini drone za Korea kaskazini zilipenya kudadeki
 
NI rounds of ammunitions!! Ammunitions zinazorushwa na ndege za kivita ni MAKOMBORA!! Rounds of ammunitions zinazorushwa na bunduki ni risasi!! Rounds of ammunitions zinazorushwa ni mizinga ni mabomu!!
Kwa hiyo kujua ni rounds of ammunitions zipi zimerushwa ni kujua kwanza kifaa kilichotumika kuzirusha!!
Korea ya kusini ili-scramble ndege za kivita kuzifuatilia hizo drones!! Hiyo ni tuition ya bure!! Haya tuambie wewe hizo 100 rounds zilizorushwa na ndege za kivita ni nini? Ni mawe au?
Ndege za kivita zirushe Makombora 100!!!! Aiseeee! Hii kali
 
SK walizitrack drone wakatuma fighter jet pamoja Helicopters,lakini ndugu yetu Supapawa drone imeenda 600km deep kwenda kubutua airbase.
Usijitoe ufahamu. Hazijapiga air base ya urusi, bali zilitungulia zilipokaribia hiyo air base!! Kama haujui lugha ya malkia omba mkalimani. Soma sehemu iliyokolezwa wino hapo chini toka CNN.

CNN —
Three Russian servicemen were killed Monday after a Ukrainian drone was shot down by air defenses as it approached a military airfield in Saratov Oblast, deep inside Russian territory
 
NI rounds of ammunitions!! Ammunitions zinazorushwa na ndege za kivita ni MAKOMBORA!! Rounds of ammunitions zinazorushwa na bunduki ni risasi!! Rounds of ammunitions zinazorushwa ni mizinga ni mabomu!!
Kwa hiyo kujua ni rounds of ammunitions zipi zimerushwa ni kujua kwanza kifaa kilichotumika kuzirusha!!
Korea ya kusini ili-scramble ndege za kivita kuzifuatilia hizo drones!! Hiyo ni tuition ya bure!! Haya tuambie wewe hizo 100 rounds zilizorushwa na ndege za kivita ni nini? Ni mawe au?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]upo sahihi lakini haupo sahihi pia.

Kwa hiyo S.Korea wamerusha missile 100
Kiongozi hivi unazijua missile 100 kweli?

Kwa taarifa yako Ndege vita na karibia helicopter za combat zote zina bunduki high caliber/amor piercing

Mfano unaijua A-10 warthog, ni maarufu kwa sababu ya Gattling gun yake pale mbele

Mfano bunduki za ndege ni M-61 Vulcan 6 Barell Gattling Gun
 
Imesafiri

na imetunguliwa ha ha ha imekuwaja drone za Korea zikapenya MPAKA jiji LA Seoul zinalo lindwa na USA made air defense mbaya zaid pale mpakani kuna patriot PAC 3 hizi hudeal na low flying kama cruiser misseli na drone. Lakini drone za Korea kaskazini zilipenya kudadeki
Hahahaha Yani drone imekuja kutunguliwa ishafika ndani ya base na kuua wanajeshi watatu halafu mnasifu hyo nchi ina air defenses?! Ina maana hizo drone zingetaka kushambulia miundombinu mingine kama ya nishati zingeshambulia bila taabu yoyote
 
Usijitoe ufahamu. Hazijapiga air base ya urusi, bali zilitungulia zilipokaribia hiyo air base!! Kama haujui lugha ya malkia omba mkalimani. Soma sehemu iliyokolezwa wino hapo chini toka CNN.

CNN —
Three Russian servicemen were killed Monday after a Ukrainian drone was shot down by air defenses as it approached a military airfield in Saratov Oblast, deep inside Russian territory
Kiongozi reply yangu umeiruka lakini.

Nakukumbusha kuwa hii ni mara ya pili
Screenshot_20221226-210231.jpg
 
Usijitoe ufahamu. Hazijapiga air base ya urusi, bali zilitungulia zilipokaribia hiyo air base!! Kama haujui lugha ya malkia omba mkalimani. Soma sehemu iliyokolezwa wino hapo chini toka CNN.

CNN —
Three Russian servicemen were killed Monday after a Ukrainian drone was shot down by air defenses as it approached a military airfield in Saratov Oblast, deep inside Russian territory
Kama hazijapiga base ya Urusi hao wanajeshi watatu wamekufaje?! [emoji23] Mkisoma habari muwe mnachekesha akili kidogo
 
Kama kuna siku Marekani imechezewa sharubu ni leo!! Marekani hudai majeshi yake yako korea ya kusini ili kuilinda korea ya kusini dhidi ya kitisho cha korea ya kaskazini. Anga la korea ya kusini linalindwa na air defense za marekani zikiwemo Patriot air defense system na THAAD. Lakini leo drones tano (5) za Korea ya kaskazini zilivuka mpaka na kuingia korea ya kusini na kutamba kwenye anga hilo kwa masaa 7!! Kuona drones zimeingia kwenye anga lake, korea ya kusini ilituma ndege zake za kivita ili kuzishambulia bila mafanikio. Ndege za kivita za korea ya kusini zilizirushia makombora 100 lakini makombora yote hayo yaliambulia patupu!!!

Kilichoshtua sana ni kuwa drone moja ilienda mpaka pembezoni mwa anga lililo juu ya mji mkuu wa korea ya Kusini-Seoul. Ndege nyingine ya korea ya kusini ilirushwa kwenda kuongezea nguvu lakini iliishia kuanguka!! Kuona hivyo korea ya kusini ikahisi kuwa ndege yake imepigwa tochi (imeelekezewa electronic warfare na kuzidiwa), hivyo korea ya kusini ikatoa amri ndege zake za kijeshi zikiwemo za kiraia zisiruke kwa masaa kadhaa!!

Baada ya kufanya "manuva" kwenye anga la korea ya kusini kwa masaa 7 na zikafanikiwa kukwepa makombora 100 toka ndege za kijeshi za korea ya kusini, drones hizo zilirudi kwenye vituo vyake huko korea ya kaskazini zikiwa salama salimini!!

Hebu fikiri hasara iliyopata korea ya kusini: 1. Ndege yake moja ya kijeshi imedondoka na kuwaka moto japo marubani wake wawili waliruka kwa miamvuli 2. Makombora 100 ya gjarama kubwa yamerushwa bila mafanikio!! Hii imetokea siku kadhaa baada ya Marekani na Korea ya Kusini kufanya MAZOEZI ya pamoja ya KIJESHI ili kujilinda na kitisho cha Korea ya Kaskazini. Hii inaonesha kuwa Marekani haina uwezo wa kulinda anga lolote kwa uhakika!!

Kama ilishindwa kulinda anga la kituo chake cha kijeshi nchini Iraq hadi ikashambuliwa na makombora lukuki nya Iran, inabidi mtu awe anafikiri kwa kutumia tumbo kuamini kuwa Marekani inaweza kulinda kwa ukamilifu anga la nchi yoyote ikiwemo UKRAINE!!!

Details of North Korean drone incident revealed – media​

A North Korean drone ventured into its neighbour’s airspace for at least seven hours, South Korean media said, citing the military
Details of North Korean drone incident revealed – media

A South Korean Army Apache helicopter fires.

The South Korean military has said it fired more than 100 rounds at a trespassing North Korean drone on Monday, but failed to down it, according to Yonhap news agency. It is estimated that several unmanned aerial vehicles (UAV) remained in the South Korean airspace for seven hours.
hii nmeisikia leo cnn na bbc pia mpaka nikashtuka
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]upo sahihi lakini haupo sahihi pia.

Kwa hiyo S.Korea wamerusha missile 100
Kiongozi hivi unazijua missile 100 kweli?

Kwa taarifa yako Ndege vita na karibia helicopter za combat zote zina bunduki high caliber/amor piercing

Mfano unaijua A-10 warthog, ni maarufu kwa sababu ya Gattling gun yake pale mbele
Bunduki za ndege mitutu yake huweza kurusha mabomu na makombora!!! Hazirushi risasi kama za kwenye bunduki za mikononi!! Lakini vyovyote vile, walirusha "silaha' 100 wanazoziamini kutungulia ndege na drones za adui na zikashindwa!! Haya tuambie wewe hizo 100 rounds toka kwenye ngede za kivita yalikuwa ni mawe au??
 
Bunduki za ndege mitutu yake huweza kurusha mabomu na makombora!!! Hazirushi risasi kama za kwenye bunduki za mikononi!! Lakini vyovyote vile, walirusha "silaha' 100 wanazoziamini kutungulia ndege na drones za adui na zikashindwa!! Haya tuambie wewe hizo 100 rounds toka kwenye ngede za kivita yalikuwa ni mawe au??
Ni risasi za gattling gun. Haya wewe thibitisha ni 100missiles.
 
Bunduki za ndege mitutu yake huweza kurusha mabomu na makombora!!! Hazirushi risasi kama za kwenye bunduki za mikononi!! Lakini vyovyote vile, walirusha "silaha' 100 wanazoziamini kutungulia ndege na drones za adui na zikashindwa!! Haya tuambie wewe hizo 100 rounds toka kwenye ngede za kivita yalikuwa ni mawe au??
Ukumbuke ni standard kwa ndege vita/combat helicopter kuwa na gun

Mfano hapo chini ni specs za KA50/KA52 Helicopter ya Urusi. Hizo rounds hapo ni missil

Screenshot_20221226-211939.jpg
 
NI rounds of ammunitions!! Ammunitions zinazorushwa na ndege za kivita ni MAKOMBORA!! Rounds of ammunitions zinazorushwa na bunduki ni risasi!! Rounds of ammunitions zinazorushwa ni mizinga ni mabomu!!
Kwa hiyo kujua ni rounds of ammunitions zipi zimerushwa ni kujua kwanza kifaa kilichotumika kuzirusha!!
Korea ya kusini ili-scramble ndege za kivita kuzifuatilia hizo drones!! Hiyo ni tuition ya bure!! Haya tuambie wewe hizo 100 rounds zilizorushwa na ndege za kivita ni nini? Ni mawe au?
Hata ndege Vita zinatumia Risasi. Kajifunze uongeze maarifa.
 
Kama hazijapiga base ya Urusi hao wanajeshi watatu wamekufaje?! [emoji23] Mkisoma habari muwe mnachekesha akili kidogo
Usitunge kichwani kwako, soma habari ilivyo kwenye chombo chochote cha habari cha MABEBERU unachokiamini BBC, CNN, RUETERS nk. Tatizo hujui kiingereza,. Maelezo jinsi walivyokufa wale askari yametolewa vizuri tu. Walidondokewa na kifusi / Debris cha drone iliyotunguliwa ikiwa inawaka moto tokea angani. Drone ingepiga ndege au chochote na kuilipua mabeberu LAZIMA wangerusha picha ya ndege iliyopigwa na kuwaka moto!!

Soma tena!!
CNN —
Three Russian servicemen were killed Monday after a Ukrainian drone was shot down by air defenses as it approached a military airfield in Saratov Oblast, deep inside Russian territory
 
Back
Top Bottom