kp kipanya44
JF-Expert Member
- Jun 23, 2022
- 12,971
- 15,248
Tunajadiliana na darasa la Saba hapa[emoji16]Kama drone ilipiga 600km deep in russia, tena kwenye airbase sasa hapo nini cha ajabu.
Alafu kuwa na akili kidogo huwezi tumia THAAD/PARTIOT kwenye cheap target kama hizo.
Kwa hiyo ukiona 100 rounds akili yako inakwambia makombora 100 ? (Pole sana)
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app