Drones za Korea ya Kaskazini yalichezea anga la Korea ya kusini mbele ya Air defense system za Marekani kwa masaa 7 na kurudi salama kituoni

Drones za Korea ya Kaskazini yalichezea anga la Korea ya kusini mbele ya Air defense system za Marekani kwa masaa 7 na kurudi salama kituoni

Haujui

Haujui kitu!! Nitumie layman language ili uelewe!! Missile ni usafiri unaobeba bomu la aina fulani ili lifikishwe kwenye target!! Lina guidance system sawa lakini missile inabeba bomu!! Missile inarushwa na kirushio chake, inaruka ikiwa imebebeshwa bomu hadi hilo bomu lifikishwe kwenye target!! Bomu pia linaweza kurushwa au kufyatuliwa moja kwa moja toka kwenye kifyatuo chake ambacho kinaweza kuwa ni mzinga!! Kwa kiswahili missile ni kombora!! Mwisho wa siku kinachoangamiza ni BOMU!! Ndege za kijeshi huweza kurusha mabomu au kudondosha mabomu moja kwa moja hadi kwenye target. Lakini target inayotembea huwezi kuirushia bomu moja kwa moja, lazima hilo bomu liwe guided/lielekezwe ndio maana hutumia missilles/makombora, Ninafahamu pia kuwa ndege za kivita zina mitutu inayoweza kurusha risasi. Lakini mitutu ya ndege hurusha risasi kwa mamia hadi maelfu kwa dakika moja! Hurusha risasi nyingi kwa dakika ili kuongeza uwezekano wa angalau zingine zifanikiwe kufika kwenye target. Kama rounds hizo zingekuwa za risasi zisingekuwa 100 tu kwa mapambano ya masaa 7 yaliyohusisha ndege zaidi ya moja!! Zingekuwa ni malaki hadi mamilioni katika kipindi cha masaa 7. Ndio maana timu marekani hawana ujasiri wa kueleza hizo rounds 100 ni za nini!! Haya tuambie wewe hizo round 100 ni za mawe au? Mimi nimesema ni makombora/missiles kwa sababu zilikuwa zinalenga target inayotembea kwa hiyo lazima bomu liwe guided. Kombora/missile ndio huwa na guidance system! Risasi hazina guidance system ndio maana zikirushwa kwenye target inayotembea lazima ziwe ni maelfu kwa malaki maana ni kubahatisha!!
Acha kupiga sarakasi na msuli.

Nipe tafsiri ya hii kitu ""A round is a single cartridge containing a projectile, propellant, primer and casing""

Hayo maelezo meeengi sihitaji.
 
Haujui

Haujui kitu!! Nitumie layman language ili uelewe!! Missile ni usafiri unaobeba bomu la aina fulani ili lifikishwe kwenye target!! Lina guidance system sawa lakini missile inabeba bomu!! Missile inarushwa na kirushio chake, inaruka ikiwa imebebeshwa bomu hadi hilo bomu lifikishwe kwenye target!! Bomu pia linaweza kurushwa au kufyatuliwa moja kwa moja toka kwenye kifyatuo chake ambacho kinaweza kuwa ni mzinga!! Kwa kiswahili missile ni kombora!! Mwisho wa siku kinachoangamiza ni BOMU!! Ndege za kijeshi huweza kurusha mabomu au kudondosha mabomu moja kwa moja hadi kwenye target. Lakini target inayotembea huwezi kuirushia bomu moja kwa moja, lazima hilo bomu liwe guided/lielekezwe ndio maana hutumia missilles/makombora, Ninafahamu pia kuwa ndege za kivita zina mitutu inayoweza kurusha risasi. Lakini mitutu ya ndege hurusha risasi kwa mamia hadi maelfu kwa dakika moja! Hurusha risasi nyingi kwa dakika ili kuongeza uwezekano wa angalau zingine zifanikiwe kufika kwenye target. Kama rounds hizo zingekuwa za risasi zisingekuwa 100 tu kwa mapambano ya masaa 7 yaliyohusisha ndege zaidi ya moja!! Zingekuwa ni malaki hadi mamilioni katika kipindi cha masaa 7. Ndio maana timu marekani hawana ujasiri wa kueleza hizo rounds 100 ni za nini!! Haya tuambie wewe hizo round 100 ni za mawe au? Mimi nimesema ni makombora/missiles kwa sababu zilikuwa zinalenga target inayotembea kwa hiyo lazima bomu liwe guided. Kombora/missile ndio huwa na guidance system! Risasi hazina guidance system ndio maana zikirushwa kwenye target inayotembea lazima ziwe ni maelfu kwa malaki maana ni kubahatisha!!
Haya sasa thibitisha sio risasi ni makombora kama ulivyosema kwenye OP yako. Rejeo:Ulisema Kombora ni Missile kwwnye post yako.

Haya thibitisha.
 
Nikukumbushe ulisema mimi muongo ila nilivyokukibu ukaenda mbbio.

Haya tuambie hii December 5, 2022

S-300
S-400
S-500
Pantisir & Co zilikua zimezimwa au zilikua likizo?
View attachment 2459251
Kwa kuwa wewe ni mtaalamu wa hebu tuambie nini kilijiri mpaka drone hazikuonekana completely zikapiga shambulio kwenye airbase 600+km deep in russia
mbingunikwetu
 
Kama drone ilipiga 600km deep in russia, tena kwenye airbase sasa hapo nini cha ajabu.

Alafu kuwa na akili kidogo huwezi tumia THAAD/PARTIOT kwenye cheap target kama hizo.

Kwa hiyo ukiona 100 rounds akili yako inakwambia makombora 100 ? (Pole sana)
Kama huwezi kutumia Patriot kwenye cheap target mbona ametumia ndege zaidi ya moja za kivita na kila moja ina gharama kubwa kuliko hiyo patriot na ndegew moja ikaanguka kwa kushidwa electronic warfare? Sasa ameokoa nini?? Timu marekani imeshikwa pabaya hata kujikuta inaweweseka!!

Umeshindwa kusema hizo rounds 100 ni za nini!! Hivi utapigaje target inayotembea kama drone?? Hutumika makombora/missiles maana yenyewe yana guidance system/yana mfumo wa kuelekeza kwenye target!! Tunaposema missile au kombora ileweni kuwa missile ni usafiri/delivery system unasobebeshwa bomu!! Mwisho wa siku kinachoangamiza ni bomu la aina fulani. Missile/kombora ni usafiri wake tu.. Useme wewe hizo round 100 ni za nini? ni za mawe au? Au ni Risasi kama ya kwenye bunduki au? Kwa akili yako timamu drones zinazotembea kwa kasi na kufanya "manuva" hewani unaweza kuzitupia risasi 100 tu kwa mapambano ya masaa 7? Kama una ubavu wewe unayedai unajua njoo hapa utuambie hizo round 100 ni za nini!
 
Haya sasa thibitisha sio risasi ni makombora kama ulivyosema kwenye OP yako. Rejeo:Ulisema Kombora ni Missile kwwnye post yako.

Haya thibitisha.
Nikupe darasa: Ingia google uandike: Meaning of Missile in Kiswahili. Halafu jibu utakalopata tuwekee hapa. Tatizo kuna washabiki wa marekani humu maskini hata hawajui lolote. Hawajui hata maana ya moving target na namna ya kupambana na moving target!! Wanaamini unaweza kuirushia risasi 100 kwa pambano la masaa 7!!

Mimi ninafahamu ndege za kivita huwa na mitutu ya kurushia risasi. Lakini humwaga risasi kwa mamia hadi maelfu kwa dakika moja!! Sasa kwa masaa 7 zingemwagwa risasi kwa mamilioni!! Achana na ndege, hata askari wa kawaida akiwa na SMG tu na mkanda wa risasi kwa saa moja atakuwa amemimina risasi kwa maelfu! Sasa ndege za kivita zaidi ya moja mtu anaamini zimetumia round 100 tu za risasi!! Hiyo ndiyo tunasema ni kufikiri kwa kutumia tumbo!!
 
Acha kupiga sarakasi na msuli.

Nipe tafsiri ya hii kitu ""A round is a single cartridge containing a projectile, propellant, primer and casing""

Hayo maelezo meeengi sihitaji.
OK mimi nimetumia a layman language ili uelewe!! Umetafuta tafsiri sahihi lakini ni out of context.
Nikupe hii hapa kwenye context tuliyomo ili kujua unaposema round of ammunition in combat context:

Tafuta: What does a round of ammunition mean?


How many bullets are in a round of ammunition?


One round is a single bullet unless you are talking about shotgun ammunition, which can have multiple projectiles in a single round. A round has only one bullet.

In this context 'a bullet" ni kile kinachorushwa. Kama ni risasi ni moja au kama ni bomu lililopachikwa kwenye missile/kombora ni moja. Kwa hiyo korea ya kusini ilitumia ndege za kivita kurusha aidha risasi 100 au mabomu 100 kwa njia ya makombora. Akili ya kawaida inakataa kuwa ni risasi 100 maana mitutu ya ndege za kivita hurusha risasi kwa mamia hadi maelfu kwa dakika moja!! Lazima hizo round 100 ni za makombora!!
 
Fact zote zinajieleza.. acheni ubishi...

North Korea katuma drones zake SK na SK walijaribu kuzishusha ila kwa taarifa ni kwamba ilishindikana.

Katika harakati za ku eliminate threat, ndege moja ya SK ilipata hitilafu na kuanguka.

Sidhani kama ingekuwa sahihi kwa US kutumia THAAD au Patriot kutungua drones ambazo hazina madhara, ndo mana SK wakaamua watumie cheap option ambayo ni risasi za kwenye ndege.

But ndo hivo wameshindwa...

Inaonekana SK huwa wanapata kiwewe sana ku deal na NK... NK sio adui ambaye unaweza kuwa na furaha naye, ni mojawapo ya mataifa ambayo kwa sasa yana nguvu kubwa kijeshi, kwenye makombora na silaha nyingine ndogo ndogo.

Sip kazi rahisi ku deal na adui kama huyo... Na hii vita kama itapiganwa kati ya SK na NK, itakuwa vita mbaya sana east asia... itakuwa ni deadliest war.

Kupigana na taifa la kicomunisti bi ngumu sana
 
Fact zote zinajieleza.. acheni ubishi...

North Korea katuma drones zake SK na SK walijaribu kuzishusha ila kwa taarifa ni kwamba ilishindikana.

Katika harakati za ku eliminate threat, ndege moja ya SK ilipata hitilafu na kuanguka.

Sidhani kama ingekuwa sahihi kwa US kutumia THAAD au Patriot kutungua drones ambazo hazina madhara, ndo mana SK wakaamua watumie cheap option ambayo ni risasi za kwenye ndege.

But ndo hivo wameshindwa...

Inaonekana SK huwa wanapata kiwewe sana ku deal na NK... NK sio adui ambaye unaweza kuwa na furaha naye, ni mojawapo ya mataifa ambayo kwa sasa yana nguvu kubwa kijeshi, kwenye makombora na silaha nyingine ndogo ndogo.

Sip kazi rahisi ku deal na adui kama huyo... Na hii vita kama itapiganwa kati ya SK na NK, itakuwa vita mbaya sana east asia... itakuwa ni deadliest war.

Kupigana na taifa la kicomunisti bi ngumu sana
Logic ya kawaida inakataa maelezo yako kuwa waliamua kutumia risasi za kawaida!! Kwanza kitaalamu:
1. Huwezi kutumia risasi 100 kwenye target inayotembea!! Moja kwa moja ni kwamba hutaipata, maana unapolenga unakuta imeshaenda sehemu nyingine!! Kama ni risasi basi wangetumia risasi kwa mamilioni ili walau moja ibahatike kuipiga hiyo drone. Lakini kikubwa ni kwamba hakuna mtutu wa risasi kwenye mitutu ya ndege za kivita unaomwaga risasi 100 tu!! Huwa ni mamia ya risasi hadi maelfu tena ni kwa dakika moja!!! Kwa hiyo hizo siyo risasi za kawaida!!
2. Target inayotembea hata kama iko ardhini kama gari, ikitaka kupigwa toka kwenye ndege ni LAZIMA utumie kombora / missile, maana mfumo wa kombora/missile unaweza kuelekeza na kulifuatia lengo/target (missile guidance system) hata kama target inatembea. Inabidi target ifanye miondoko ya kugeuza geuza mwelekeo mara nyingi kwa dakika ili kuikwepa missile/kombora. Na ndicho zile drones za korea ya kasdkazini zilivyokuwa zinafanya "manuva" za kufa mtu!! Kwa hiyo kwa mantiki hiyo ni lazima hizo rounds 100 ni makombora/missiles!! Vinginevyo labda jeshi la mgambo ndilo linaloweza kufanya kituko hicho cha kutumia risasi kuangusha drones za kisasa ambazo ni target inayotembea kwa manuva kali. Tuliona pale Uklraine kulikuwa na askari wawili wa kawaida waliokuwa wanajaribu kuilenga drone kwa risasi za bunduki ya kawaida bila mafanikio!!
 
Logic ya kawaida inakataa maelezo yako kuwa waliamua kutumia risasi za kawaida!! Kwanza kitaalamu:
1. Huwezi kutumia risasi 100 kwenye target inayotembea!! Moja kwa moja ni kwamba hutaipata, maana unapolenga unakuta imeshaenda sehemu nyingine!! Kama ni risasi basi wangetumia risasi kwa mamilioni ili walau moja ibahatike kuipiga hiyo drone. Lakini kikubwa ni kwamba hakuna mtutu wa risasi kwenye mitutu ya ndege za kivita unaomwaga risasi 100 tu!! Huwa ni mamia ya risasi hadi maelfu tena ni kwa dakika moja!!! Kwa hiyo hizo siyo risasi za kawaida!!
2. Target inayotembea hata kama iko ardhini kama gari, ikitaka kupigwa toka kwenye ndege ni LAZIMA utumie kombora / missile, maana mfumo wa kombora/missile unaweza kuelekeza na kulifuatia lengo/target (missile guidance system) hata kama target inatembea. Inabidi target ifanye miondoko ya kugeuza geuza mwelekeo mara nyingi kwa dakika ili kuikwepa missile/kombora. Na ndicho zile drones za korea ya kasdkazini zilivyokuwa zinafanya "manuva" za kufa mtu!! Kwa hiyo kwa mantiki hiyo ni lazima hizo rounds 100 ni makombora/missiles!! Vinginevyo labda jeshi la mgambo ndilo linaloweza kufanya kituko hicho cha kutumia risasi kuangusha drones za kisasa ambazo ni target inayotembea kwa manuva kali. Tuliona pale Uklraine kulikuwa na askari wawili wa kawaida waliokuwa wanajaribu kuilenga drone kwa risasi za bunduki ya kawaida bila mafanikio!!
Taarifa nyingi za vyombo vya habari wametumia neno 'warning shots'.. sasa kama wewe unasema ni makombora na sio risasi.. hiyo ni juu yako, maana sipo kwenye serikali ya kichwa chako.. we amini chochote.
 
Fact zote zinajieleza.. acheni ubishi...

North Korea katuma drones zake SK na SK walijaribu kuzishusha ila kwa taarifa ni kwamba ilishindikana.

Katika harakati za ku eliminate threat, ndege moja ya SK ilipata hitilafu na kuanguka.

Sidhani kama ingekuwa sahihi kwa US kutumia THAAD au Patriot kutungua drones ambazo hazina madhara, ndo mana SK wakaamua watumie cheap option ambayo ni risasi za kwenye ndege.

But ndo hivo wameshindwa...

Inaonekana SK huwa wanapata kiwewe sana ku deal na NK... NK sio adui ambaye unaweza kuwa na furaha naye, ni mojawapo ya mataifa ambayo kwa sasa yana nguvu kubwa kijeshi, kwenye makombora na silaha nyingine ndogo ndogo.

Sip kazi rahisi ku deal na adui kama huyo... Na hii vita kama itapiganwa kati ya SK na NK, itakuwa vita mbaya sana east asia... itakuwa ni deadliest war.

Kupigana na taifa la kicomunisti bi ngumu sana
Nakubaliana na wewe kwa kauli moja kuwa: Kupigana na taifa la kikomunisti ni ngumu sana!! Mabeberu wanajua huo ukweli!! Ndio maana wanatumia mbinu za kuwachonganisha waliokuwa wakomunisti wapigane wao kwa wao, na hicho ndicho kinachotokea kwenye vita ya Ukraine na Urusi!! Wote wale ni wana damu ya ukomunist!! Ndiyo maana ni kweli Urusi imepata ugumu kidogo (japo siyo sana ) kupigana na Ukraine. Amini usiamini, ingekuwa ni vita kati ya Ujerumani na Ukraine, ujerumani saa hii ingekuwa habari nyingine!! Ingeshasambaratika!! Wakomunisti ni wagumu kushindwa!! Tofauti ya urusi na Ukraine ni wingi wa silaha, wingi wa askari na ubora wa slaha. Tofauti siyo ubora wa askari!!! Kama NATO wasingekuwa wanampa silaha ukraine, vita ingeshakuwa imeisha zamani kwa Ukraine kushindwa na kusalimu amri. Mwisho wa siku mabeberu wataona hailipi kumaliza silaha zao na watamtelekeza!!~ Ndio maana urusi anajua kabisa kuwa mwisho wa siku ukraine atashindwa tu!!! Warusi wana silaha nyingi kuliko nchi zote za magharibi, maana wao tokea zamani walikuwa wanajiandaa kwa vita na mabeberu!!
 
Usiseme kichekesho. Taarifa ya CNN hii hapa!!
CNN —
Three Russian servicemen were killed Monday after a Ukrainian drone was shot down by air defenses as it approached a military airfield. in Saratov Oblast, deep inside Russian territory, according to Russian state news agencies, citing the defense ministry.

Soma sehemu iliyokolezwa wino kama unaijua lugha ya kiingereza halafu uniambie hicho kichekesho kiko wapi?

kichekesho. kimetolewa sio na CNN. bali na russia kuepuka aibu wakasema wametungua hizo drone na machuma yakawaangukia askar wake ( hawakuvaa helment) yakawapasua ubongo wakafa.

hem mwenyewe jaribu kuunganisha doti. utakiona kichekesho katikati ya statement ya russia.

sasa hiv moscow yote imejaa helkopta ili kulimda anga yao dhidi ya dron za ukraine.

wameona beki hazikabi tena.

maana zikija drone SU 500 zinaona Kunguru.
 
Mkuu MK254 unasemaje hapa.

Ndio nimejua leo kweli maustadhi wako desperate, kushindwa kwa Urusi kumefanya wachanganyikiwe sana, jamaa kaanzisha uzi amejaza maneno mengi ya uwongo halafu hajaweka source, na pia andiko la source kaweka paragraph moja isiyoendana na andiko lake lote.
Makombora 100???? Like seriously?? Hilo tukio limefanyika mkoa wa mpakani, na ilikua kwa lisaa moja, na Korea Kusini walikua wanatumia helkopta.
 
Ndio nimejua leo kweli maustadhi wako desperate, kushindwa kwa Urusi kumefanya wachanganyikiwe sana, jamaa kaanzisha uzi amejaza maneno mengi ya uwongo halafu hajaweka source, na pia andiko la source kaweka paragraph moja isiyoendana na andiko lake lote.
Makombora 100???? Like seriously?? Hilo tukio limefanyika mkoa wa mpakani, na ilikua kwa lisaa moja, na Korea Kusini walikua wanatumia helkopta.
Kwamba habari ni uongo sio?
 
Aisee jamaa kumbe dunia imekuacha eenh.

Je unajua 5 December, Engels ilipigwa. Hii ni se cond time bro.

Pia inakuaje drone ina safiri 600km deep into your country?
Mark you, what counts here ni,je,drone ilikuwa detected, intercepted na kuwa destroyed timely ilipo karibia some military critical assets.

Hilo la kusema sijui drone ya Ukraine iliiingia KM ngapi ndani ya Rasssian air space ni immaterial, as I said hapa,ni,je,ilionekana na kutunguliwa - drones zenyewe ziliundwa enzi za kisoviet Union na Warusi wenyewe,ukiziagalia kwa karibu zinaonekana kama a mid zised single engined jet fighter kuliko a drone.
 
Habari ina ukweli ila sio kwa namna maustadh wanaifanya iwe, mizinga 100 unapiga drone ambayo imeruka maeneo ya mpaka kwa lisaa limoja??
We unajua hizo drones zimeundwa kwa mfumo gani wa ku-jam GPS guided shells au wewe hajawahi kulisikia hilo - Kim siyo kichaa kwamba alihamuka asubuhi moja na kuhamua kurusha drone zake kwenda kupima uwezo wa air defense systems za Kimerikani huko Korea kusini - matokeo ya majaribio hayo yamedhilisha udhaifu mkubwa kwa mifumo ya ulinzi wa anga unao pigiwa debe kila siku kwamba wao zaidi - si ajabu katika majaribio hayo Kim akawa aliwahusisha wataalamu wa kijeshi wa Urusi na Uchina - sasa tusubiri Patriot zitakavyo lipuliwa na Lancet kamikaze drones huko Ukraine, na Senselessky akiendelea kuwa kichwa maji Kia Kia taiga lake liendelee kutumiwa MA mataifa ya magharibi kuihujum Urusi basi Ukraine nzima itachukuliwa na Urusi ili kukomesha mataifa us magharibi kuendelea kuitumia Ukraine kama mtaji WA kuivuruga Urusi kiuchumi na kijeshi - Urusi ikichukua hatua hiyo kali wala NATO/US hawatafanya lolote dhidi Russia.
 
Mark you, what counts here ni,je,drone ilikuwa detected, intercepted na kuwa destroyed timely ilipo karibia some military critical assets.

Hilo la kusema sijui drone ya Ukraine iliiingia KM ngapi ndani ya Rasssian air space ni immaterial, as I said hapa,ni,je,ilionekana na kutunguliwa - drones zenyewe ziliundwa enzi za kisoviet Union na Warusi wenyewe,ukiziagalia kwa karibu zinaonekana kama a mid zised single engined jet fighter kuliko a drone.
Point yangu ni kuwa December 5, Airbase za Urus zilipigwa vizuuri kabisa. Hakukuwa na detection wala interception.

600+Km ilikuwaje kitu kikashindwa kuwa tracked all the way to its target. ?

Je hii shambuli jipya kabisa. Ilikuwaje drone ikawa detected imeshakabia its target more than 400+km deep in russisa. Imewezake kutembea hizo km zote bila kuguswa?
 
OK mimi nimetumia a layman language ili uelewe!! Umetafuta tafsiri sahihi lakini ni out of context.
Nikupe hii hapa kwenye context tuliyomo ili kujua unaposema round of ammunition in combat context:

Tafuta: What does a round of ammunition mean?


How many bullets are in a round of ammunition?


One round is a single bullet unless you are talking about shotgun ammunition, which can have multiple projectiles in a single round. A round has only one bullet.

In this context 'a bullet" ni kile kinachorushwa. Kama ni risasi ni moja au kama ni bomu lililopachikwa kwenye missile/kombora ni moja. Kwa hiyo korea ya kusini ilitumia ndege za kivita kurusha aidha risasi 100 au mabomu 100 kwa njia ya makombora. Akili ya kawaida inakataa kuwa ni risasi 100 maana mitutu ya ndege za kivita hurusha risasi kwa mamia hadi maelfu kwa dakika moja!! Lazima hizo round 100 ni za makombora!!
One round is a single bullet (kutokana na tafsiri uliyoleta)
Basi huu mjadala usiwe mrefu. Endelea kurefer bullet as a missile manaa ndio uwezo wako ulipoishia

A bullet is a kinetic projectile.....

Unajua maana ya Kinetic Projectile?
 
We unajua hizo drones zimeundwa kwa mfumo gani wa ku-jam GPS guided shells au wewe hajawahi kulisikia hilo - Kim siyo kichaa kwamba alihamuka asubuhi moja na kuhamua kurusha drone zake kwenda kupima uwezo wa air defense systems za Kimerikani huko Korea kusini - matokeo ya majaribio hayo yamedhilisha udhaifu mkubwa kwa mifumo ya ulinzi wa anga unao pigiwa debe kila siku kwamba wao zaidi - si ajabu katika majaribio hayo Kim akawa aliwahusisha wataalamu wa kijeshi wa Urusi na Uchina - sasa tusubiri Patriot zitakavyo lipuliwa na Lancet kamikaze drones huko Ukraine, no Senselessky akiendelea Kuwa kichwa maji, Ukraine nzima itachukuliwa na Urusi ili kukomesha massifs us magharibi kuendelea kuitumia Ukraine kama mtaji WA kuivuruga Urusi kiuchumi na kijeshi - Urusi ikichukua hatua hiyo kali wala NATO/US hawatafanya lolote dhidi Russia.

Hamna chochote, tatizo unapenda kuandika insha refu lisilo na mantiki, wewe kwa akili zako unafikiria GPS pekee yake ndio inategemewa kwenye counter-UAV, kwa taarifa zako incursions za North Korea kwa kutumia drone huwa jambo la kawaida na huwa haziendi mbali, hugeuza upesi sana.
Lakini Mrusi wenu kapigwa na drone iliyosafiri 600km.....hehehe takbir
 
Back
Top Bottom