Droo Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika: Yanga SC vs Rivers United - Simba SC vs Wydad Casablanca

Weka kwa masaa ya madafu. Ni sangapi itakuwa huku kiwalani?
 
Kwani droo si saa tatu usiku?
 
Leo draw ya klabu bingwa Africa itafanyika pale Cairo, Misri makao makuu ya CAF ambapo klabu za Tanzania Simba sc na Young Africans sc zikiwa ni miongini mwa team zilizofuzu hatua ya robo fainali. Simba sc inaweza kutana na Mamelodi Sundowns, Wydad Casablanca au Esperance de Tunis huku Young Africans inaweza kukutana na USM Alger, Rivers united au Pyramids.
Je, ungetamani team yako ikutane na nani?
 
Waleteni hao wenye bahati mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…