EP MEDICS COSMETICS STORE
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 2,826
- 4,593
Namaanisha hiyo nusu ya simba na zamaleck ndio itakuwa kama fainali tayari sababu ya attention itayokuwepo.Hawawezi kucheza fainali maana draw inaonyesha wote wakivuka robo fainali inabidi wakutane nusu fainali.