Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bungeni.Wanaipeleka wapi?
apeleke star timesKumbuka hi ni tetesi na unajua ile chanell mmiliki wake sio dstv sas kama amepata sehem yenye maslah zaid anaweza kuindoa na kuipeleka kwengine kweny faida zaid.
Ni kweli mimi nina Dstv na wametutumia huo ujumbe kututaarifu.Dstv kuanzia mwezi ujao chanell namba 160 haitakuwepo tena zingatia kuwa hii ndo chanell pendwa na dada mama na wadog zetu je ni kweli au ni tetesi tu
Screen shot ujumbe plzNi kweli mimi nina Dstv na wametutumia huo ujumbe kututaarifu.
Kwanini ni tetesi wakati DSTV wameshatuma ujumbe inbox kwa wateja kwamba wanaiondoa hiyo chaneliKumbuka hi ni tetesi na unajua ile chanell mmiliki wake sio dstv sas kama amepata sehem yenye maslah zaid anaweza kuindoa na kuipeleka kwengine kweny faida zaid.
Mhh sijapokea huu ujumbeNi kweli mimi nina Dstv na wametutumia huo ujumbe kututaarifu.
Ni kweli mimi nina Dstv na wametutumia huo ujumbe kututaarifu.
...Uliza zaidi Hapo ulipoipata Tetesi hii !..Dstv kuanzia mwezi ujao chanell namba 160 haitakuwepo tena zingatia kuwa hii ndo chanell pendwa na dada mama na wadog zetu je ni kweli au ni tetesi tu
Dstv kuanzia mwezi ujao chanell namba 160 haitakuwepo tena zingatia kuwa hii ndo chanell pendwa na dada mama na wadog zetu je ni kweli au ni tetesi tu
Bora apeleke ITV!!apeleke star times
🤣🤣🤣Bungeni.