Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wanafanya nchi ngapi Afrika mpaka waje wajizike bongo?watakuwa wamejizika rasmi kwa wabongo hasa wanawake na kina dada na watoto sisi atatupata kwa mpira bar tuu.
Hahahah, afadhali, wataacha kunipora remote sasaDstv kuanzia Oktoba, chaneli namba 160 haitakuwepo tena. Zingatia kuwa hii ndio chaneli pendwa na dada mama na wadogo zetu je ni kweli au ni tetesi tu
Hiyo WIFi ni bure? Au bundle lake ni GB milioni ngapi?Kuimarika kwa internet hizi dstv etc tunakoelekea zinakufa...maana saiv ukiwa na WIFI na smart tv na ukilipia baadhi ya app pesa kidogo hata elfu 20 haifiki , unaona tv almost zote duniani plus supersport zote channel plus movies and series zote utakazo
South Afrika imeendelea ila bado Dstv wapoKuimarika kwa internet hizi dstv etc tunakoelekea zinakufa...maana saiv ukiwa na WIFI na smart tv na ukilipia baadhi ya app pesa kidogo hata elfu 20 haifiki , unaona tv almost zote duniani plus supersport zote channel plus movies and series zote utakazo
WIFI inategemeana na kampuni, Mfano zuku internet kifurushi Cha elfu 69 kwa mwezi unaweza connect simu zote Kwa wanafamilia, smart TV zote etc..hapo kwenye smart TV ndio unaweza kudownload YouTube, app za tv etc..hakuna mamilioni mzee.Hiyo WIFi ni bure? Au bundle lake ni GB milioni ngapi?
Hujanielewa mantiki yangu ..hata nchi zilizoendelea wanatumia decorder...mfano Mimi binafsi nilishaacha kulipia DSTV kitambo Sana maana Kuna App kwenye smart tv ambazo ukilipia kidogo tu unaona channel ulimwengu mzima include channel zote za supersportSouth Afrika imeendelea ila bado Dstv wapo
DP world hawaitaki.Bungeni.
Washatuma notifications kwa clients wote mkuuSiyo kweli...
Ni kweli, ila siyo 160...Washatuma notifications kwa clients wote mkuu
Wale wa JUA kali na HUBA pole kwao
Mbona jana watu wanalalamika sijui hiyo channel haionyeshi?Ni kweli, ila siyo 160...
Watakua kwenye vifurshi vya chini...Mbona jana watu wanalalamika sijui hiyo channel haionyeshi?
Unavyokuwa unaangalia kwa smart tv , MB zinaenda Kama Kawa?Hujanielewa mantiki yangu ..hata nchi zilizoendelea wanatumia decorder...mfano Mimi binafsi nilishaacha kulipia DSTV kitambo Sana maana Kuna App kwenye smart tv ambazo ukilipia kidogo tu unaona channel ulimwengu mzima include channel zote za supersport
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
What a great newsDstv kuanzia Oktoba, chaneli namba 160 haitakuwepo tena. Zingatia kuwa hii ndio chaneli pendwa na dada mama na wadogo zetu je ni kweli au ni tetesi tu
Why?
Washatuma notifications kwa clients wote mkuu
Wale wa JUA kali na HUBA pole kwao