Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Kuanzia Julai mosi mzigo wa vifurushi vya DStv kwa upande wa Tanzania ndio huu, maoni yako ni yapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
safi sanamaoni yako ni yapi?
Pole kibanda umiza wengi hivi sasa wana Canal+wale wa vibanda umiza.. EPL saivi tutaicheki sio kwa jero tena naona.
Afukumi Ili niangalie bunge🙄Kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba yake.
Kama hauna Kamba ndefu basi nunua cha "afukumi".
Hamia Azam au Startimes vipo vifurushi hadi vya siku(Startimes) na Week(Azam).Afukumi Ili niangalie bunge🙄
Dah nina miezi 8 sijaweka kifurushi washanipigia simu hadi wamechoka. Naishia kuwatongoza tu.
Home Kuna vingamuzi kama 3 hivi, ila DStv ndio inaongoza Kwa kukata muda mrefu bila kulipiaHamia Azam au Startimes vipo vifurushi hadi vya siku(Startimes) na Week(Azam).