DStv kupandisha vifurushi vyao kuanzia Julai Mosi mwaka huu

DStv kupandisha vifurushi vyao kuanzia Julai Mosi mwaka huu

Elfu 34 mkuu ambacho kimepandaa now.
rikiboy habari.

Nataka leo ninunue decoder na dish nifunge Getto.

Lakin sina uzoefu kabisa na business ya ving'amuzi tangu nizaliwe.

Unashauri nichukue cha DSTV ama AZAM.

Bajeti yangu ya kifurushi kwa mwezi sitaki izidi 40,000.

Napendelea zaidi mpira (wa nje) na channel za mieleka, movie za action, NATIONAL GEO, Wanyama.
 
Azam TV kununua ghari 160K ila vifurushi vyake vipo poa sana. Nimeangalia CAF champion league na CAF Confederation Cup bure kupitia ZBC 2. Nikiweka kifurushi cha 8,000 kwa mwezi naangallia mpaka mieleka na ligi ya Zanzibar yote.
Habari, unaweza kunipa list ya vifurushi vya AZAM?

Nafikiria nikachukue kati ya AZAM na DSTV, kimojawapo
 
rikiboy habari.

Nataka leo ninunue decoder na dish nifunge Getto.

Lakin sina uzoefu kabisa na business ya ving'amuzi tangu nizaliwe.

Unashauri nichukue cha DSTV ama AZAM.

Bajeti yangu ya kifurushi kwa mwezi sitaki izidi 40,000.

Napendelea zaidi mpira (wa nje) na channel za mieleka, movie za action, NATIONAL GEO, Wanyama.
Elfu 40 kwa Dstv utaishia kuona Big Brother Naija, japo napendekeza ununue Dstv hutojutia
 
rikiboy habari.

Nataka leo ninunue decoder na dish nifunge Getto.

Lakin sina uzoefu kabisa na business ya ving'amuzi tangu nizaliwe.

Unashauri nichukue cha DSTV ama AZAM.

Bajeti yangu ya kifurushi kwa mwezi sitaki izidi 40,000.

Napendelea zaidi mpira (wa nje) na channel za mieleka, movie za action, NATIONAL GEO, Wanyama.
Hamia Canal plus wewe hutojutia

Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom