Adolph Jr
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 5,950
- 9,511
Siyo aje, yupo na atakuwepo sema wanampiga vita maana anawakwepa wachumia tumbo.Huyu canal + aje tu Kwa kweli ikiwezekana a fungue na ofisi zake kabisa alete ushindani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo aje, yupo na atakuwepo sema wanampiga vita maana anawakwepa wachumia tumbo.Huyu canal + aje tu Kwa kweli ikiwezekana a fungue na ofisi zake kabisa alete ushindani
Ndo tunakumbushana rafiki....😲😲😲😲 Jamani sii unaweka parental control tuu mbona mambk rahisi kabisa.
tcra wanawatafuta, walitangaza mwaka jana disemba, ukidakwa unaimport shauri yakoNgoja nitafute Canal +
Huko DST ili uwe unaangalia EPL na UCL unalipia kifurush Cha sh ngap??
Typing error,nilitak kumaanisha DSTV.DST or DSTV??
Kama Dstv
-EPL kuanzia Compact = 60,000
- UCL Compact Plus= 105,000
Bei za kuanzia July 1
Utapandishaje vifurushi vya Tv kama wewe sio mjinga wakati unafahamu kabisa ulimwengu wa sasa umetawaliwa na simu watu wengi sikuhizi hawana muda wa kuangalia Tv wako busy na simu.Kuanzia Julai mosi mzigo wa vifurushi vya DStv kwa upande wa Tanzania ndio huu, maoni yako ni yapi?
View attachment 2666617
Ni kweli vizuri ni gharama. Lakini huwezi kujibu ksbb hujapandisha gharama muda mrefu. Kwa nini asisema hatujawahi kushusha kwa hiyo tunashusha gharama?.Ndio, vitu vizuri ni gharama. Nimewauliza kwanini wanapandisha wamenijibu kwa sababu wameongeza chaneli nyingi na hawajapandisha kwa muda mrefu
Hivi azam mieleka ni channel namba ngapiAzam TV kununua ghari 160K ila vifurushi vyake vipo poa sana. Nimeangalia CAF champion league na CAF Confederation Cup bure kupitia ZBC 2. Nikiweka kifurushi cha 8,000 kwa mwezi naangallia mpaka mieleka na ligi ya Zanzibar yote.
Compact plus toka 56,000 kwa mwezi hadi 105,000 kwa mwezi.Compact mzee aliondoka ikiwa 49,000.
Kwani compact plus ni ongezeko la kiasi gani?Ni jambo jema sababu nilishangaa sisi watumiaji wa DSTV iweje tulipe sawa na vingamuzi vingine ni kama Dharau lazima tofauti ionekane ..kwanza ongezeko ni dogo nilitaka walau liwe la 10k
Compact ndo 60.56 mpk 60 ni buku???
Elf 4 mara miezi ya mwaka mzima ni sh ngapi?
Mkeka umetiki brazaAzam anapiga jalamba wapandishe tu
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
We jamaa itakuwa ulisoma Cuba[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
Safi sana. Utakuwa unakuja kwetu au vibanda umiza kuangalia mechi ya IHEFU na Mbagala MarketSafi sana, watumiaji wenye hela tuwe wachache ili huduma zizidi kuboreshwa
Ni ramli chonganishi tu natumia
Hello Jack, how are you doing?Compact ndo 60.
Compact plus ndo 105 ambapo ilikuwa 56.
Go and double-check.