MtoMsimbazi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 1,800
- 3,091
Tutarudi kwenye satellite decoder za zamani ilituangalie mpira. ..dish kubwa unazungusha tu/scanAzam anapiga jalamba wapandishe tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutarudi kwenye satellite decoder za zamani ilituangalie mpira. ..dish kubwa unazungusha tu/scanAzam anapiga jalamba wapandishe tu
You are right... Very boring no value for moneyDstv channel nyingi za hovyo pesa haiendani na hizo gharama zao...
Hahaaaaaaa.. Mie huwa nalipa cha 56,000 shule ikifungwa Dec na June tu... Sio fan wa TV mie.Kutoka 34000 mpaka 37000 afutatu yote hiyo. Afadhali na shule zitakua zimefunguliwa kifurushi hakinunuliwi mpaka september
Kumbe Bado unakaa Kwa wazazi??.Home Kuna vingamuzi kama 3 hivi , ila DStv ndio inaongoza Kwa kukata muda mrefu bila kulipia
Wako wapi hao Canal!? HQ..!?Nataka nifanye Maamuzi magumu haswaaa...
Natafuta Kisimbuzi cha Canal Plus nimesikia kinauzwa 160k hadi 180k na malipo ya mwezi ni 40k ambapo nitapata Ligi zote za ulaya na kwingineko (Potelea pote, maisha ndio hayahaya) Japo itabidi nifanye savings kwa ajili ya hii ishu
Anaejua link ya ule uzi wa canal + anipe hapa
@Kanali_ ana majibu sahihi..Wako wapi hao Canal!? HQ..!?
Wako wapi hao Canal!? HQ..!?
AZAM TV ndio mwenye haki ya matangazo kuonesha LIGI KUU NBC sio Dstv mkuu
Hizo caf champions league na confederation quality ya picha sio nzuri. Azam bado hajafikia ubora wa dstvAzam TV kununua ghari 160K ila vifurushi vyake vipo poa sana. Nimeangalia CAF champion league na CAF Confederation Cup bure kupitia ZBC 2. Nikiweka kifurushi cha 8,000 kwa mwezi naangallia mpaka mieleka na ligi ya Zanzibar yote.
Yeah kwa sababu Azam tv walinunua haki ya matangazo kwa miaka 10Kwaiyo hakuna namna DSTV anaweza kujiongeza kwenye ligi ya kibongo?
Iigi ya zanzibar?🤣Azam TV kununua ghari 160K ila vifurushi vyake vipo poa sana. Nimeangalia CAF champion league na CAF Confederation Cup bure kupitia ZBC 2. Nikiweka kifurushi cha 8,000 kwa mwezi naangallia mpaka mieleka na ligi ya Zanzibar yote.
😲😲😲😲 Jamani sii unaweka parental control tuu mbona mambk rahisi kabisa.Nyie mnaoangalia dstv muwe mna control Tv zenu maana ushoga huko ni nje nje...watt na hizo cartoon zipo free exposed na zina maudhui ya kimagharibi...ni hayo tuu...
Mkuu, mafuta huwa yanaongezeka shilingi 10 au 30 na watu huwa wanalia, sasa buku si ni kubwa sana aisee.Ongezeko la 1000 watu wanalia afu wanaolia ukute hawana kingamuzi chochote kile
Wee ulitaka aende wapi nahapo ni kwaoKumbe Bado unakaa Kwa wazazi??.
Basi kuwa mwanamkeMkuu, mafuta huwa yanaongezeka shilingi 10 au 30 na watu huwa wanalia, sasa buku si ni kubwa sana aisee.
Ndio, vitu vizuri ni gharama. Nimewauliza kwanini wanapandisha wamenijibu kwa sababu wameongeza chaneli nyingi na hawajapandisha kwa muda mrefu
Ukiona hivyo haikufai wewe,kachukue azam au startimesNadhani inabidi watu wa Dstv wabadilike kuendana na hali halisi Nani mwenye uwezo wa kuangalia channel 165 zote hizo waje na vifurushi vipya
Pole kibanda umiza wengi hivi sasa wana Canal+
Kwani usiponunua kifurushi hata mwaka wanakufungia? Maana Mimi ninacho hapa na sijakifunga hata kinaenda mwaka wa pili