Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
- Thread starter
- #81
Bomba 24kToka 34000 Hadi 37000
Wana mahesabu hiyo ni sawa na ongezeko la asilimia ngapi!?
Ila naona Bomba imebaki vile vile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bomba 24kToka 34000 Hadi 37000
Wana mahesabu hiyo ni sawa na ongezeko la asilimia ngapi!?
Ila naona Bomba imebaki vile vile
Poa,mkuu ulipewa zawadi Yako na AHAS !?Bomba 24k
Duu hii nchi mamaeee...!!Toka 34000 Hadi 37000
Wana mahesabu hiyo ni sawa na ongezeko la asilimia ngapi!?
Ila naona Bomba imebaki vile vile
Pole mkuuHajanipa ila yupo online
Easy tuPole mkuu
Nimeshangaa sana ...Kuanzia julai mosi mzigo wa vifurushi vya DStv kwa upande wa Tanzania ndio huu, maoni yako ni yapi?View attachment 2666617
Channel zipi hizo!??Ndio, vitu vizuri ni gharama. Nimewauliza kwanini wanapandisha wamenijibu kwa sababu wameongeza chaneli nyingi na hawajapandisha kwa muda mrefu
Mimi napenda mpira naangalia zote na zipo home...mpia wa Kibongo nipo na Azam nje nipo na Dstv huo ndio ulevi wetu...Nenda Azam kingamzi Cha kiswahili DStv tuachie wajanja
Kama kilo 1 ya sukari 3500. Unafikiri wafanyakazi wa DSTV wanaishije?Mwigulu kashafanya yake, Tozonia. Nchi ya kingese sana hii mtu anajiamulia tu. Tukiwaambia hii Awamu ya 6 nchi imewashinda machawa kelele nyingi.
Azam TV kununua ghari 160K ila vifurushi vyake vipo poa sana. Nimeangalia CAF champion league na CAF Confederation Cup bure kupitia ZBC 2. Nikiweka kifurushi cha 8,000 kwa mwezi naangallia mpaka mieleka na ligi ya Zanzibar yote.hicho kifurushi cha poa kinachekesha sana jamaa wana dhereu sana
Hongera mzee, wengine kifurushi chako cha mpira kwa mwezi, wengine ndiyo mshahara wetu kwa mwezi.😀😀😀😀😀😀😀😀Mimi napenda mpira naangalia zote na zipo home...mpia wa Kibongo nipo na Azam nje nipo na Dstv huo ndio ulevi wetu...
Kama hutaki kutake risk utaendelea kusema hivyo hivyo si wengine tuliwahi panda mtumbwi usiku kuvuka mpaka wa Zambia Livingstone kuelekea Sesheke Namibia hapo enzi za Savimbi leo ukishangaa mambo ya TV ni kunivunjia heshima mkuu....Hongera mzee, wengine kifurushi chako cha mpira kwa mwezi, wengine ndiyo mshahara wetu kwa mwezi.😀😀😀😀😀😀😀😀
Hii haina tofauti na ubinafsishwaji wa bandari ukitaka huduma bora weka pesa kwahiyo watanzania msilalamike.
Dah nina miezi 8 sijaweka kifurushi washanipigia simu hadi wamechoka. Naishia kuwatongoza tu.
Dah nina miezi 8 sijaweka kifurushi washanipigia simu hadi wamechoka. Naishia kuwatongoza tu.
Wangeweka na opt ya week, week zenye mechi ndio mtu alipe. Nyingine ashushe bandoSasa hv pia wameweka option ya kuweza kulipia zaidi ya mwez mmoja ,mfano miez 3,6 au 11
Ukilipia 11 months unapewa offer ya mwez mmoja bure
Sasa hapo maamuzi ni yako