Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii canal ni ya ukweli sana?Pole kibanda umiza wengi hivi sasa wana Canal+
Si nasikia haina English? Matangazo yanarushwa kwa kifaransa sijuiHii canal ni ya ukweli sana?
Si utupe tu hiko king'amuzi dogo 😂Dah nina miezi 8 sijaweka kifurushi washanipigia simu hadi wamechoka. Naishia kuwatongoza tu.
Naskia ni kibovu balaaaaKama hauna Kamba ndefu basi nunua cha "afukumi".
Si hiki kile ambacho aunafunga yale madishi makubwa,hamna kulipia kwa mwezi wala niniSi nasikia haina English? Matangazo yanarushwa kwa kifaransa sijui
56 mpk 60 ni buku???Ongezeko la 1000 watu wanalia afu wanaolia ukute hawana kingamuzi chochote kile
Shida hawana EPL haoHamia Azam au Startimes vipo vifurushi hadi vya siku(Startimes) na Week(Azam).
Kwenye Azam hakuna muvi za kueleweka.Hua nikishindwa kununua Compact, hua naacha tuu, hivi Azam wana channels za movie kali mpya mpya?
Hili Dish lipo home kitambo sana, bimkubwa mpaka leo hajui maswala ya month-month payments.Si hiki kile ambacho aunafunga yale madishi makubwa,hamna kulipia kwa mwezi wala nini
Na lina channel za kutosha?Hili Dish lipo home kitambo sana, bimkubwa mpaka leo hajui maswala ya month-month payments.
Kula chuma hiko...Uongo mtupu
Sawa..Hakuna kitu kama hicho. Hayo ni maneno ya mitaani na kwenye magroup ya WhatsApp na mitandaoni.
Tofauti na ligi ya mbuzi (bongo) ila zingine zote wanaoneshaHii canal ni ya ukweli sana?
Canal + 💪🏿Kuanzia julai mosi mzigo wa vifurushi vya DStv kwa upande wa Tanzania ndio huu, maoni yako ni yapi?View attachment 2666617
Sema siku hizi kutokana na utandawazi watoto wanaelewa mambo haraka. Nakumbuka enzi hizo wakati tamthlia za kifilipino zimeanza bamba mfano the promise sijui timeless kulikuwa na mashoga mle hata sikuwa najua hata ushoga ni nini nilikuwa tu nadhani wanajaribh kutuchekesha kwa kuvaa nguo za kike ukizingatia zama hizo hata wachekeshaji wa kibongo walikuwa wanavaa nguo za kike na kujpaka masizi.
Sio sana kama zaman siku hizi wameanza kuchange hadi wengine wanachekesha wakiwa wamevaa suti tofauti na zamank ni kuvaa kike na matambalaKwani siku hizi hao unaowaita wachekeshaji wenu hawavai magauni na mawigi?
Toka 34000 Hadi 37000Kuanzia julai mosi mzigo wa vifurushi vya DStv kwa upande wa Tanzania ndio huu, maoni yako ni yapi?View attachment 2666617
Nenda Azam kingamzi Cha kiswahili DStv tuachie wajanjaDstv channel nyingi za hovyo pesa haiendani na hizo gharama zao...