Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Nataka nifanye Maamuzi magumu haswaaa...
Natafuta Kisimbuzi cha Canal Plus nimesikia kinauzwa 160k hadi 180k na malipo ya mwezi ni 40k ambapo nitapata Ligi zote za ulaya na kwingineko (Potelea pote, maisha ndio hayahaya) Japo itabidi nifanye savings kwa ajili ya hii ishu
Anaejua link ya ule uzi wa canal + anipe hapa
Natafuta Kisimbuzi cha Canal Plus nimesikia kinauzwa 160k hadi 180k na malipo ya mwezi ni 40k ambapo nitapata Ligi zote za ulaya na kwingineko (Potelea pote, maisha ndio hayahaya) Japo itabidi nifanye savings kwa ajili ya hii ishu
Anaejua link ya ule uzi wa canal + anipe hapa